Come on kwenda wapi? Tulieni hapo hapo hakuna kukimbiaGunners come on
Adi za bongo??Score808, game zote muda wote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Goli halali la mkono sio?Tumenyimwa goli halali
Hilo hilo kizimkaziUnakuta jitu Hilo Hilo ni Arsenyeto, Hilo Hilo ni Yanga, Hilo Hilo ni team mbowe 😀😀😀
Za bongo hapana, ila game za CAF unaangaliaAdi za bongo??
Shukran chiefZa bongo hapana, ila game za CAF unaangalia