Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkaamua wote mumkabe Salah lakini wapi😄
Jamaa kawaweka
Una UCHOKO sana,kama ninyi mlivyomkaba Saka tena akiwa hajapona sawasawa lakini akampiga beki tobo na kuwaweka,na mlivyokuwa mna uhakika wa ushindi kisa tuna majeruhi wengi mbona jasho liliwatoka!!yaani kulia kacheza Partey lakini bado jasho liliwatoka,mtu upo kijijini huko kibanda umiza unawashwa kusema Goli offside kumzidi aliyekuwa Live Emirates
Mkaamua wote mumkabe Salah lakini wapi😄
Jamaa kawaweka
 
Hapo akili imefikia mwisho. Ubingwa kwa kheri, no way.
 
Mkuu
Huwezi kucomment bila kuhusisha matusi?
Mbona una hasira hivyo?
Kunywa maji ushushe presha hiyo
Fans wa arseno siyo wapumbavu wa kiasi chako.
 
Ten Hug kashafungashiwa virago huko!
Siku mbaya sana kwetu Ze Ganaz. Wangesubiri kidogo tu tukutane nao kwanza. Yaani unaona jinsi gani Asenali tunapigwa vita kila kona, kuanzia wachezaji wetu kuvunjwa kwa rafu za kihuni, marefa na VAR kutusulubisha bila haki, mpaka sasa Ratcliffe naye kaingia kutusagia kunguni kwa kumuondoa Baba Ubaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…