Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tukikutana na Nyumba, beki tatu upande wetu hatuweki mtu, yan panakaa wazi tu na bao hawapati
 
Hapa hauzwi mtu, maana kuna watu washaanza kusema Zinny na Kiwior huenda tusiwe nao next season.Hizo beki mtaziona kwenye mashindano yote hapa chini

UCL
EPL
EFL
FA
COMMUNITY SHIELD


Maumivu yakizidi


 
Jorginho on persuading Riccardo Calafiori to join Arsenal: “I sent him (Calafiori) a few messages while we were there at the (Euro 2024) tournament and I spoke with him and said if he wants to take himself to the next level and grow, this (Arsenal) is the right place for him to go.

“It’s nice to have a fratello here! We always try to help each other here and that’s what we’re going to do with him as well to make sure he feels at home straight away. It’s great that he’s here, hopefully he enjoys it and we’ll achieve big things together.”
 
🚨🇪🇸 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆 | Arsenal are closing in on the signing of Mikel Merino (28) from Real Sociedad, reports FabrizioRomano x MatteMoretto! ✨

Deal being discussed which is in excess of €30m.
 
MAJOR BREAKING from @MatteMoretto: Agreement reached between Arsenal and Real Sociedad for Mikel Merino!
€30m + bonuses.
The player will join Arsenal in the next few days.


Huyu Mikel Merino Afanye haraka aje kuzoeana na wenzake

 
🚨Arsenal have had a £25million offer accepted by Real Sociedad for midfielder Mikel Merino.

The final details are being sorted out before the deal can be completed.

The 28-year-old will sign until 2028.

Mikel Arteta has got his man. 🇪🇸
 
Mzee Ferguson alishawai Kusema, washambulia Bora wanashinda mechi ile beki Bora zitakupa ubingwa.
Kipindi hiko Manchester United hawaitwi NYUMBU

Hii code naona Arteta ndio ameistukia, hatujachelewa. View attachment 3056990
Baada ya kuona pressing, overloading, aerial duel, positional interchange na flexibility hazijawapea kombe lolote, msimu huu false hopes zenu meamua kuzielekezea kwa mabeki sio?
Timueni hio Tetea yenu mtafute kocha wa kueleweka la sivyo kila msimu mtakua mnakuja na false hopes zenu halafu ikifika mwezi May mnaanza kutukanana humu
 
Hii sio Jambo la kufurahia, coz Nyumbu hamtapata ata shoot on target.
 
Nyie kondoo huwa mnachekesha sana, mtu kama hawajui anweza akafikiri mna bonge moja la timu, kumbe leo tu mmeshachabangwa mbili na liva ya vibabu.
Pre season ni mech z kujifurahsha tu wakt mwingn na kuwek utimam wa mwil sawa ndo maan unaona city kapotez kwa celtic ns ac milan pia madrid kafungwa na ac milan ila niukweli kuwa kwa sasa njia pekee ya nyie wapinzani kufurahia ni sisi kukosa ubingwa na nyote kuhamia man city nje na hapo hakun chaka mtajifichia sabb timu zenu ni ungaunga mwana trip shamba trip garage...
 
Hii sio Jambo la kufurahia, coz Nyumbu hamtapata ata shoot on target.
Umesikia kwanza habari ya dogo chido obi-martin (mtambo wa magoli) amewatema Arsenyau na kujiunga timu dume Man Utd.
Alivyoulizwa na waandishi kwa nini unaikacha Arsenyo na kuhamia kwenye matofali ya kuchoma akajibu "Arsenyo kuna umama mwingi"
Haiwezekani kila msimu ligi inapoanza mnadanganyana kua huu ndio msimu wenu halafu ikifika May mnatoka mikono mitupu na kupena false hope kwa msimu ujao.
 
Kwaio huyu ndio mbadala au mgombea namba na hojlund?

Miaka 20 nyuma, arsenal chini ya mzee Wenger ndio tulikua kwenye huu ujinga.
Kila la kheri nyumbu, sisi tunasubiri usajiri wa Mikel Merino tu hapa. Tuanze kupiga spana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…