Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa unalialia nini mambo ya kawaida haya. Steven Gerrard aliwai kumpa pasi drogba ili Chelsea wasinde na united wakose ubingwa.

Everton waliwahi kumuuzia mechi Guardiola ili Liverpool tusiwe mabingwa. Nyie mlitegemea kabisa mchukue ubingwa kwa msaada wa spazi mnaowatukana kila siku??
 
Mimi nachojua kitendo cha Arsenal kuanza kucheza game harafu mpinzani ndio anafata hio Ni advantage kubwa Sana ....

Pressure inakuwa kubwa Sana Kwa timu ambayo inakiporo ,....cheki kama Ile intensity ya game ya Spurs kama huna experienced player na coach ile game unapoteza ...

Man city tumekuwa na game moja au mbili mkononi Kila msimu tunapotaka kumaliza league kutokana na michuano tunayokuwa tunashiriki .....watu hawajui ila hii inakuwa kama kumdiscourge MTU ....Kwa timu nyingine lazima ipoteze tu
 
Unawinda visababu vya kua na chuki unavikosa inabidi uwe na gubu sasa.
This is me kwenye webistes zingine nikiongelea juu ya hiyo game. Ni sawa na nilivyojibu wengine humu kwamba acha City ishinde.
 
Unawinda visababu vya kua na chuki unavikosa inabidi uwe na gubu sasa.
This is me kwenye webistes zingine nikiongelea juu ya hiyo game. Ni sawa na nilivyojibu wengine humu kwamba acha City ishinde.
View attachment 2991757
Shindeni mechi zenu zote msimu ujao muone kama hamtakuwa mabingwa.

Kabla ya kulaumu flani, jiulize umepoteza points ngapi kizembe dhidi ya timu za kawaida?, mfano umepigwa nje ndani na Villa, hapo ulitegemea maajabu gani ya Spurs kuifunga City wakati Spurs hiyohiyo mechi 5 za mwisho zisizohusisha City alishinda 1 tu?.

Mbona Leicester City alichukua makombe na hao mnaoita watu wenye hela za mafuta wakiwepo?.

Timu tangu 2004 huko hakuna cha maana, kila mwaka janja janja zile zile za kusajili wachezaji wachanga wa mafungu wengi halafu mnataka mchukue ubingwa upi?
 
Simu yako ingekua inafungua picha ungesoma nilichoandika ungeona wazi hichi unachoniandikia mimi sina kazi nacho
 
watu kelele kibao kwa gunners eti tumekosa kombe
angali timu yako inatafuta hata chance ya kucheza conference,
are you insane?
nye nye nye alafu litimu lako lipo nafasi ya ngapi sijui huko na mnafahamu kabisa
sisi na nyie hatugombanii nafasi mliyopo,nyie batlle yenu ni kwa nyukesto
 
sawa malkia wa mipasho,tumesikia maoni yako
 
umetema madini ya kutosha
japo ni mchomo kwa watu flani hiviii,kutwa kutuletea taarab kama hadija kopa
 
Arsenyo ni sawa na vile vidada kila vikipata bwana vinawatambia marafiki zake kua mwaka huu lazima vitaolewa, matokeo yake vinaishia kutiwa mimba na kukimbiwa, mwakani kikipata bwana mwingine story zinajirudia tena vilevile tu.
Mpaka sasa hivi tayari ameshapata mabwana 20 na wote wamempiga chini, mwakani atapata bwana mwingine na kurudi humu na story zake zilezile kua mwaka huu lazima ataolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…