ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 923
- 1,302
Shuleni ukiwa kilaza wa darasa kila mtu anakutegemea uendelee kuharibu ili wao wajifariji kwamba mwisho wa muhula hata wasipoongoza darasani watakupita wewe. Sasa ukianza kupiga msuli sawa sawa na kuanza kupasua, wale vilaza wengine wanachukia maana wataenda kuwaambia nini nyumbani? Wale vipanga nao wanachukia kuwa umewafikia.Ila washika mitutu wa jiji la London toka Arteta amekuja hii timu imewasha moto sana aiseee.......mpaka watu wameonesha chuki zao waziwazi.....Hebu fikiria hata tukifunga goli hawataki tushangilie....hahahahaaaaaa
Tusindikizeni...mwezi wa tatu nyny mnarudi mlikotokea....kusumbuana na kina Manunu huko chinichini...mmeshaonesha hapo juu hampawezi...unakulaje chuma tatu ukiwa unaongoza ligi 🤠🤠🤠Timu toka aje mawigi kubond haina kikombe chochote Cha maana
Wenzenu tunaenda kubeba Kwa mara nyingine vyote vilivyo mbele yetu.
Ni juzi kati tu hapa tulichukua EPL,, nyie mmechukua lini?
Na tupo kileleni.
Sawa kabisa mkuu napokea majukumu kwa mikono miwili.Goodmorning arsenal fans.kufuatia matokeo ya arsenal ya mechi tatu zilizopita nimepata hasara ya ongezeko la kilo mbili kwenye uzito wangu😂😂😂.anyway sio mbaya.
Kuna watu wanasema tuna mdomo na hatujui may itakuwaje.guys take it easy and enjoy it while it last.
Yesterday is history
Tomorrow is hope
Today is a blessing,please enjoy to the fullest and maxmize it.
Naomba tuongeze juhudi za kuwakera kwa matokeo tunayopata.hii kazi mkorea na Hamiss 77 ongezeni bidii.
Mkuu MalcolM XII una tule tumaneno twa kukeraaaaaaa naomba ongeza juhudi ili waelewe.
HENRY14 jitahidi kaka hii kazi ya kuwapa shida man u,chelsea na liver inahitaji ushirikiano wako pia.
Mkuu Castr hivi unajua Flano anakereka sana kwa hiyo avatar yako yenye legend wenger?.waeleweshe wapinzani kwamba hatuna haja ya kusubiri kesho ili tufurahi.tunaenjoi leo.
Washabiki walioanza kupenda hii team toka late 90's na early 2000 wanajua wapi tumetoka na ni kwa muda gani tumeteseka kuchekwa hadi na team kama chelsea na man city ambazo ni team za very new football generation
Usichukie enjoi
Mbona kuongoza ligi mmeshindwa sasa hadi sasa mnatapatapaTusindikizeni...mwezi wa tatu nyny mnarudi mlikotokea....kusumbuana na kina Manunu huko chinichini...mmeshaonesha hapo juu hampawezi...unakulaje chuma tatu ukiwa unaongoza ligi 🤠🤠🤠
Wakikujibu nitag mkuu 😄😄
Ni suala la muda tu....kimahesabu mpk Sasa nyny ni WA pili...mmekaa kienyejienyeji tu hapo juu ila leo mnatoka rasmiMbona kuongoza ligi mmeshindwa sasa hadi sasa mnatapatapa
EPL umechukua lini mara ya mwisho?Ni suala la muda tu....kimahesabu mpk Sasa nyny ni WA pili...mmekaa kienyejienyeji tu hapo juu ila leo mnatoka rasmi
Huyu Flano tunaishi wote Kiwalani siku hizi hanisalimiiGoodmorning arsenal fans.kufuatia matokeo ya arsenal ya mechi tatu zilizopita nimepata hasara ya ongezeko la kilo mbili kwenye uzito wangu😂😂😂.anyway sio mbaya.
Kuna watu wanasema tuna mdomo na hatujui may itakuwaje.guys take it easy and enjoy it while it last.
Yesterday is history
Tomorrow is hope
Today is a blessing,please enjoy to the fullest and maxmize it.
Naomba tuongeze juhudi za kuwakera kwa matokeo tunayopata.hii kazi mkorea na Hamiss 77 ongezeni bidii.
Mkuu MalcolM XII una tule tumaneno twa kukeraaaaaaa naomba ongeza juhudi ili waelewe.
HENRY14 jitahidi kaka hii kazi ya kuwapa shida man u,chelsea na liver inahitaji ushirikiano wako pia.
Mkuu Castr hivi unajua Flano anakereka sana kwa hiyo avatar yako yenye legend wenger?.waeleweshe wapinzani kwamba hatuna haja ya kusubiri kesho ili tufurahi.tunaenjoi leo.
Washabiki walioanza kupenda hii team toka late 90's na early 2000 wanajua wapi tumetoka na ni kwa muda gani tumeteseka kuchekwa hadi na team kama chelsea na man city ambazo ni team za very new football generation
Usichukie enjoi
Tulishasema ligi tutaianza January, Sasa hivi ni mwendo wa spana tu Hadi mayGoodmorning arsenal fans.kufuatia matokeo ya arsenal ya mechi tatu zilizopita nimepata hasara ya ongezeko la kilo mbili kwenye uzito wangu.anyway sio mbaya.
Kuna watu wanasema tuna mdomo na hatujui may itakuwaje.guys take it easy and enjoy it while it last.
Yesterday is history
Tomorrow is hope
Today is a blessing,please enjoy to the fullest and maxmize it.
Naomba tuongeze juhudi za kuwakera kwa matokeo tunayopata.hii kazi mkorea na Hamiss 77 ongezeni bidii.
Mkuu MalcolM XII una tule tumaneno twa kukeraaaaaaa naomba ongeza juhudi ili waelewe.
HENRY14 jitahidi kaka hii kazi ya kuwapa shida man u,chelsea na liver inahitaji ushirikiano wako pia.
Mkuu Castr hivi unajua Flano anakereka sana kwa hiyo avatar yako yenye legend wenger?.waeleweshe wapinzani kwamba hatuna haja ya kusubiri kesho ili tufurahi.tunaenjoi leo.
Washabiki walioanza kupenda hii team toka late 90's na early 2000 wanajua wapi tumetoka na ni kwa muda gani tumeteseka kuchekwa hadi na team kama chelsea na man city ambazo ni team za very new football generation
Usichukie enjoi
Mbona nyie hata wakati watu wanaumwa mlishindwa kuchukuaJurden klop alibeba EPL baada ya livepool kukaa miaka 30 bila kombe . Na kombe lenyewe kachukua kipindi cha korona kipind watu wanaumwa ..
Klop kaona hawez tena kubeba kombe , liverpool mjiandae kisaikologia miaka ya taaabu na mateso inakuja mpk corona irud tena ndio mbebe EPL
Unapozungumzia sisi miaka 20 bila kombe, kumbuka mlipiga miaka 30Mbona nyie hata wakati watu wanaumwa mlishindwa kuchukua
Miaka 20 mpo bado mnarandaranda tu
Sisi Tumepata mwaka 2019/2020Unapozungumzia sisi miaka 20 bila kombe, kumbuka mlipiga miaka 30
Kwani shangazi unatumia mfumo gani kusoma hizi comments?
Mwalimu wako alikua na kazi sana shuleni!Sisi Tumepata mwaka 2019/2020
Nyie lenu liko wapi?😂
Katika hio miaka 20 yenu ya kuwasindikiza mabingwa, Liverpool ameshinda haya makombe makubwa yafuatayo:Unapozungumzia sisi miaka 20 bila kombe, kumbuka mlipiga miaka 30
Kwani shangazi unatumia mfumo gani kusoma hizi comments?