Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,513
- 9,553
Arteta mwenyewe kasema hategemei chochote kutoka kwetu, mwisho wa msimu anataka asepe zakeMashabiki wenzangu wa arsenal msitegemee chochote chini ya arteta.
Majuzi nimetoka kuandika hapa, Hakuna kikundi Cha watu kinachojiita timu ya mpira wa miguu itaikwepa hii fedhehaYani mjomba Partey ndo kwanza ameanza kupasha mazoezini. hata mechi Moja ya kuishuhudia Ile comb matata ya Mjomba Partey, Rice na odergard bado, lakini makocha wa timu pinzani wanahaha, wengine wameamua mapema kutangaza kuondoka.
Hii Arsenal ya moto
Tunaenda kudominate league miaka 10+ consecutivelyMajuzi nimetoka kuandika hapa, Hakuna kikundi Cha watu kinachojiita timu ya mpira wa miguu itaikwepa hii fedheha
Klop ametshatema bungo, msimu ujao hatakuwepo
Nyumbu na 7hang Kama wanaviziana hivi
Kenge na pochetino hawa wapo 50/50
Pep na city yake Hawa ni majeuri, na dawa yao ndio imeshaiva rasmi
Wachawi mshaanzaMashabiki wenzangu wa arsenal msitegemee chochote chini ya arteta.
Hili halina ubishi mkuu,Tunaenda kudominate league miaka 10+ consecutively
Tunaenda kudominate league miaka 10+ consecutively
Mashabiki wenzangu wa arsenal msitegemee chochote chini ya arteta.
Masingeli sio mtu wa kumchukulia serious, hayuko sawa at all.Kina Masingeli wakikusikia watakuita mamluki, wakati msimu unaanza watu humu walikua wanadanganyana sana kwa false hopes sisi wakongwe tukawa tunacheka tu kimoyomoyo, ilifikia hatua Masingeli na CO-wokers wake wakawaaminisha watu kua msimu huu ni zamu ya Arsenyau ku win Treble kama Man City alivyo win msimu ulioisha.
Masingeli akatuletea mpaka predictions za Super Computer kuonyesha UEFA trophy msimu huu ni mali halali ya Arseno.
Sema hizi false hopes sio kwa mashabiki tu, hata wachezaji wenu nao mentality zao ni hizohizo. View attachment 2888160
Kwamba msimu wa soka umeisha mpaka uanze kijichekesha chekesha kama zwazwaKina Masingeli wakikusikia watakuita mamluki, wakati msimu unaanza watu humu walikua wanadanganyana sana kwa false hopes sisi wakongwe tukawa tunacheka tu kimoyomoyo, ilifikia hatua Masingeli na CO-wokers wake wakawaaminisha watu kua msimu huu ni zamu ya Arsenyau ku win Treble kama Man City alivyo win msimu ulioisha.
Masingeli akatuletea mpaka predictions za Super Computer kuonyesha UEFA trophy msimu huu ni mali halali ya Arseno.
Sema hizi false hopes sio kwa mashabiki tu, hata wachezaji wenu nao mentality zao ni hizohizo. View attachment 2888160
Very true.Mashabiki wenzangu wa arsenal msitegemee chochote chini ya arteta.
Nimesikia badala ya kununua midfield waliamua kumfanyia Partey surgery Ili awe fit muda mrefu + strikers hela ndefuHivi dirisha hili ndio kusema Arsenal hatuna upungufu kikosini?