arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Sasa hyo inakuwa sio pumba sasa....maana yke inaonekana kulikuwa na mnyukano mpk karibu na ligi kuisha....ila hzi pumba zngine tyri tupo GW 15 now wameshatupa Taulo...too early...ndo maana tunasema wao ni level za kina Luton Town hukoDo you condemn pumba kujitenga na mchele 3 weeks before the end of the league?
Mkuu unawatisha watoto ujue.Leo LFC tunakaa pale juu na mkizembea ndio hatutoki tena.
Hatishwi mtu me nawachana ukweli wa wazi wazi , hawana uzoefu na hizi mbio za ubingwa mimi ambae nimekosa title 2 kwa difference ya point 1 dhidi ya citizen najua njia sahihi sasa wacha wajikanyage.Mkuu unawatisha watoto ujue.
Baadae hutaonekana humu, unaichukulia poa timu ya weusi sio?Muda wa lile kuti kavu kukatika ndio huu
Agana na nyonga,sijui mtatua kwa kichwa,viungo,magoti
YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kawaida yenu wazee wasindikizajiBaadae hutaonekana humu, unaichukulia poa timu ya weusi sio?
Ukiweza tushusheNi kawaida yenu wazee wasindikizaji
Muda wa kuti kukatika umefika
Kama kawaida stori ndefu.ushawahii kuuza mchezaji kwa hata 60M tu toka arsenal imeanzishwa? Mlipigwa kwa pepe kwa 72M then mnamuuza kwa 1.5 m . Unajipa false hopes eti saka ni 120M
Gordon kauzwa kutoka everton 45 M sasa unategemea tukiuza tutauza hela ya chini kama nyinyi ?
Hio 45M hakuna mchezaji ameshawahi kuuzwa hela kubwa arsenal kuzidi hela aliyeuzwa gordon kutoka everton nakupa hiii nyingine pia najua ulikua hujuii wacha nikujuze sasa.
Unaposema unauza kwa bei kubwa tuambie toka arsenal imeanzishwa nan aliuzwa kwenda timu nyingine hela iliyozidi 45M , ukionyesha nakupa milion 1 sasa hivi hapa.
Tuliambia ramsdale ana thamani ya shingapi vile?kina holding, pepe, takuma, wachezaji wa paundi moja moja.
Kama kawaida stori ndefu.
Majibu hakuna
Kumbe dawa ni iyo tu kumuangalia na kumuacha eeh,Ule Uzi wao wa Newcastle wameukimbia
Walikuwa wawili mmoja kaona hali mbaya kakimbia ,mmoja kaona anajiongelesha mwenyewe ndipo kakimbilia humu ,msipompa airtime sijui ataenda wapi
Lete data zinazosupport unachosema juu ya Gordon. Na kupinga ninachosemaJibu hamna tena? Nimekuambia gotdon kachukuliwa kwa 45M akiuzwa itakuwa ni zaidi ya hio 45 ambayo hakuna mchezaji yoyote wa arsenal aliwahi kuuzwa kwa bei hio toka arsenal inaanzishwa.
Saaa nakuuliza wewe mchezaji gani arsenal anewahi kuuzwa kwa dau linalozidi 45 M nitajie mmoja kabla hatujafika kwa hio 120M , taja mchezaji aliyeuzwa hata kwa nusu ya hio bei ?.
Unaleta false hope ya 120M wakati hata 50M hamjawahi kufikayaani nyinyi ni makondoo kwelikweli kuongea vitu vya kufikirika tu
Nazan wewe kama walivyosema wadau wewe ni wa kupuuuzwa timu yako itapokuwa itapokuwa na hadhi ya kujib, nyumbu na kenge tunaeza kukaa nao meza moja tukazungumza siyo weweushawahii kuuza mchezaji kwa hata 60M tu toka arsenal imeanzishwa? Mlipigwa kwa pepe kwa 72M then mnamuuza kwa 1.5 m . Unajipa false hopes eti saka ni 120M
Gordon kauzwa kutoka everton 45 M sasa unategemea tukiuza tutauza hela ya chini kama nyinyi ?
Hio 45M hakuna mchezaji ameshawahi kuuzwa hela kubwa arsenal kuzidi hela aliyeuzwa gordon kutoka everton nakupa hiii nyingine pia najua ulikua hujuii wacha nikujuze sasa.
Unaposema unauza kwa bei kubwa tuambie toka arsenal imeanzishwa nan aliuzwa kwenda timu nyingine hela iliyozidi 45M , ukionyesha nakupa milion 1 sasa hivi hapa.
Tuliambia ramsdale ana thamani ya shingapi vile?kina holding, pepe, takuma, wachezaji wa paundi moja moja.
Nimekuuliza kama kuna timu kubwa imewahi kumtaka WilsonNakuuliza tena nitajie mchezaji yotote yule ambaye ameweza kuuza kwa zaidi ya 45M pale arsenal sio unaongelea tu 120M wakati hata 45M hamjawahi kuuza
Nina milion 1 hapa nitajie mchezaji mmoja tu wa arsenal ambaye amewahi kuuzwa hela ambayo everton wamemuuza gordon kwenda Newcastle.
Humu muda mwingine mpaka nashangaa mtu hana hata data anaongea tueti 120M saka wakati hata kuuzwa kwa 45 hamjawahi. Mwehu ni nan hapa ? Anayeongea mwenywe tu ama?
Kumbe kuna uzi wa Newcastle!? 😃Ule Uzi wao wa Newcastle wameukimbia
Walikuwa wawili mmoja kaona hali mbaya kakimbia ,mmoja kaona anajiongelesha mwenyewe ndipo kakimbilia humu ,msipompa airtime sijui ataenda wapi
Yaaan huyo ndug yako anaubishi wa kitoto huwez ukamweka saka kwenye kapu moja na gordon ukasema unaakili timamu,ubishi wa kitoto ni kubisha ukiwa haumaanishi unachobishamkuu Labyrinth 84 hizi nyau za humu zikionaga comments zako kwanza hua zinasonya kimoyomoyo halafu ndio zinasoma, uwepo wako kwenye hili jukwaa hua ni faraja kubwa sana kwa wale mashabiki wa arsenyau wasiopenda false hopes.