Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ornstein

"Arsenal's pursuit of Kai Havertz goes way back before Arteta.

They were interested in signing Havertz during The Arsene Wenger regime.

Arsenal watched & scouted him extensively for at least 25 games when he was playing for Bayer Leverkusen"

 
Bukayo Saka msimu uliopita alikuwa na G/A 24 iliyopelekea Hadi aingie kwenye nominees za Ballin Dor ,alikuwa na msimu Bora


Msimu huu Hadi Sasa ana G/A 19 na ndio December

Msimu huu anaweza kufika G/A50
 
Anamuweka sentence moja Saka na Gordon


Huyo Mwehu kabisa
Nimehamasika kuangalia hao kina Wilson, Isak, Gordon. Nataka kuwaona uchezaji wao ukoje. Je wanakabwa na mabeki watatu watatu kama kina Saka na Martinelli? Je wanapigwa mabuti na mangwara ya kutosha na refa hafanyi chochote kama kina Saka?
 
Arteta kuhusu Havertz:

"Nadhani alihisi kuungwa mkono na wachezaji wenzake wote na klabu yake.

Na sasa, anahisi kuungwa mkono na mashabiki wetu, ambayo ni muhimu sana na ni kitu ambacho kinaweza kukuza uwezo wake.

Ndiyo maana nadhani sasa tunaona toleo zuri.”
 
Mashabiki hatujamkubali. Tumelazimika kumzoea tu 🤣
 
Nimehamasika kuangalia hao kina Wilson, Isak, Gordon. Nataka kuwaona uchezaji wao ukoje. Je wanakabwa na mabeki watatu watatu kama kina Saka na Martinelli? Je wanapigwa mabuti na mangwara ya kutosha na refa hafanyi chochote kama kina Saka?
Makocha wamekuwa wanakiri ,wanawafanyia Saka na Martinelli mpango maalumu kabisa

Kocha wa wolves anasema walimfanyia Saka mazoezi ya kumkaba ,Cha ajabu akawaweka



Hata leo Astonvilla,plan Yao ya kwanza kabisa kuwakaba wawili wawili Saka na Martinelli,ndipo waanze kuwaza mengine
 
Huku mtaani Rice akigusa mpira kuna mwana arsenal mmoja utaskia anasema ela hiyo ela hiyo hatujatupa hela kama manjesta sijui huwa ana maana gani
 
Tomiyasu nimegundua yupo vzr Sana RB kuliko white

White amekuwa ana struggle Sana 1v1
 
Takehiro Tomiyasu:

"Saka anarahisisha maisha yangu. Dhidi ya Wolves sikufanya chochote, nilimpa tu mpira na kisha akafanikiwa.

Mazoezi dhidi yake ni ni Kama ndoto mbaya.

Sio yeye tu, katika beki wa kulia ninacheza dhidi ya Martinelli pia.

Ni wazi ni moja ya mawinga bora.
 
Hawa villa ndiyo nawaamini wanaweza kutupiga. Last season tulipambana sana ndiyo mwishowe tukawashinda. Naamini wana kipa bora, Martinez, na huenda asingetoka kupambania kona tusingewapiga goli la nne.
 
Mimi miaka 7 umeweka specific miaka kabisa....ww je ni miaka mingapi exactly???...halafu chukua miaka yako na yangu then tuone nani ni regular Na nani ni mgeni kabisa🤠🤠🤠...halafu mwaka jana ni mwanzo tu kwetu wa kurudi rasmi...vp ww ndugu yetu mwaka huu unamtoa nani pale juu kama Everton tu wanakupa miguu bajaji na kikosi chako cha kina Gordon....maana Bournemouth ulisema mna majeruhi wengi sana...vp na Everton napo mlikuwa na majeruhi wengi au
 
Nimehamasika kuangalia hao kina Wilson, Isak, Gordon. Nataka kuwaona uchezaji wao ukoje. Je wanakabwa na mabeki watatu watatu kama kina Saka na Martinelli? Je wanapigwa mabuti na mangwara ya kutosha na refa hafanyi chochote kama kina Saka?
Wilson anakupiga ngumi akiona unamkaba sana🤠🤠...kamuulize Gabriel Malgalhaes...alimkaba mwsho wa siku akala ngumi moja matata🤠🤠...Hana hamu nae...Saliba naye alilambwa Kofi ila akakausha kiume....Isak yy anachojua ni kutoka nduki...yy na Rashidi Makame hawana tofauti kubwa....Gordon yy akiwa na mpira ni anabutua mbele then mfukuzane...nishakupa sifa zao mkuu...kwhyo ukiwa unacheki mechi zao ukiona wachezaji wnye sifa hzo ujue ndo hao jamaa bila hata ya kusoma majina Yao mgongoni🤠🤠🤠🤠
 
Hawa villa ndiyo nawaamini wanaweza kutupiga. Last season tulipambana sana ndiyo mwishowe tukawashinda. Naamini wana kipa bora, Martinez, na huenda asingetoka kupambania kona tusingewapiga goli la nne.
Hawa tutaenda nao toe to toe....watu na Nyukesto hmu walitupigia kelele lakini mpk refa akasaidia ndo tukafungwa ila vngnevyo mpk sasahv ndo tungekuwa timu pekee ambayo haijafungwa.....Sasa na Hawa Villa wanavyojua kuacha magepu nyuma basi tutaoneshana makali
 
Hawa villa ndiyo nawaamini wanaweza kutupiga. Last season tulipambana sana ndiyo mwishowe tukawashinda. Naamini wana kipa bora, Martinez, na huenda asingetoka kupambania kona tusingewapiga goli la nne.
Leo wajue wanakutana na Arsenal ,option ya kwanza ,Saka awekewe watu wawili , hiyo watake wasitake
 
Huyo Mwehu wa Newcastle mnayepigizana nae kelele anawapotezea muda aisee

Alidai wao wana timu Bora ,mbona UCL wanshika mkia kwenye Ligi wanachezea vipigo


Sasa kelele zake zinatokea wapi,?

Wiki Hii wanaenda kupigwa na AC Milan hawaend hata UCL ,ili kelele ziishe humu
 
Huyu kipemba wa nyukesto hua nikimpiga spana nne anajibu moja halafu anavizia usiku wa manane ndiyo anajichomoza.

Sasa leo nimemfuma nimempa spana mbili za nyongeza kakimbia. Hapo harudi hadi alfajiri
Huyo mpuuzi namuhesabia siku tu, Sasa hivi anaingia kwenye ignore/block list
 
Nyumbu na Newcastle wanaenda kuburuza mkia

Arsenal tulishashiriki UCL miaka 20 mfululizo kabla yakupotea ,Sasa anafananishaje na Newcastle?


Arsenal karudi UCL Wala hajahangaika kwenye Group lake ,ameshafuzu na kuongoza kundi

Na Ni moja ya timu 4 zinazopewa nafasi kubwa


Kwahiyo mnajibizana na huyo Mwehu anawapotezea muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…