Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Statistics zimewafanya muwe na Point ngapi mkuu🤠🤠🤠....nyny mnakimbia sanaaa...Isak anacheza sanaa....mwsho wa siku 3 bila🤠🤠.....tangu mwanzo wa msimu tunawaambia nyny bdo ni watoto wadogo mnabisha...endeleeni kukaza vichwa basi
 
Mnajaza server na hzi picha zenu...wanafunga halafu mnakuwa nafasi ipi....mwaka jana ndo mwanzo na mwsho kupata nafasi ya kucheza UEFA...mrudi kwny uhalisia wnu
 
Usiseme lin arsenal imekosa hao wachezaji ,sema hujui.
 
Usiseme lin arsenal imekosa hao wachezaji ,sema hujui.
Hyu anajitutumua lakini ndani ya nafsi yake anajua kikundi alichochagua kumtoa mawazo kinamzidishia depression....kuna mechi hdi Trippier akawa anataka kwnda kuzichapa na mashabiki kisa wanaulizwa kwnn hamchezi vzuri tena dhidi ya kitimu kama Bournemouth
 
Mnajaza server na hzi picha zenu...wanafunga halafu mnakuwa nafasi ipi....mwaka jana ndo mwanzo na mwsho kupata nafasi ya kucheza UEFA...mrudi kwny uhalisia wnu

Kwani wewe before mwaka jana ulicheza uefa mwaka gani? Ukiongelea team ambazo katika misimu 7 iliyopita imecheza uefa au kupata nafasi ya kucheza uefa arsenal pia haipoo.

Wewe na Newcastle ndo watu wapya kwenye top 4 , kama unabisha basi taja mwaka uliocheza uefa katika miaka 7 iliyopita
yaani unaongea as if hapo top 4 kwako ni kila siku kumbe na wewe mgeni tu.

Uhalisia wenu nyinyi arsenal ni upi? Kushinda mataji ama ? Basi tuonyeshe hilo taji ulioshinda

Hii parade mlifanya mlikua mmeshinda trophy gani mkuu au hizi ni habari za kutunga?
 
Usiseme lin arsenal imekosa hao wachezaji ,sema hujui.

Daah
yaani game 1 mchezaji kukosekama ndo unapiga kelele sasa mgekuwa na majeruhi kama Newcastle si kungekuwa na vilio vikuu humu ndani

Martineli minutes played ni 948, wilson kacheza nusu ya dakika alizocheza martineli lakini kazidiwa goal zaidi ya 5
.
Halafu unakuja kutuambia martineli alikua majeruhi unawajua majeruhi wewe.
 
Nyekestu mmefunga goli ngapi jumla na Arsenal kafunga goli ngapi jumla mbona swali hili unalikwepa sana.

Hayo magoli ya mchezaji mmja mmja ndo hayakutusaidia wakati ule tupo na Auba hata UEFA hayakutupeleka.

wewe mwenye Willson + Isack mmefunga goli ngapi na mimi mwenye Nketia na Jesus nimefunga goli ngapi team kama team

wewe mwenye Pope mmefungwa goli ngapi na mimi mwenye Ramsdale nmefungwa goli ngapi team kama team ukinijibu maswali haya basi tunamaliza mjadala
 
Wewe ni wakupuuza kabisa yan sentensi moja unawaweka Godon na Saka , kumbe ndo maana kuna watu umu hua hawajisumbui na wewe kabisa
.
 

Tulikua tunaongelea player comparison sasa unaleta habari za total goals tena

Anyway arsenal mpaka sasa mna goal scored 33 na mmefungwa 14

Newcastle tuna goals 32 then conceded goals 17.
Naona kwenye individual players umeamua kukimbia
 
Wewe ni wakupuuza kabisa yan sentensi moja unawaweka Godon na Saka , kumbe ndo maana kuna watu umu hua hawajisumbui na wewe kabisa
.

Kuna mwenzako humu humu alikataza nisiwe na mquote
inamletea trauma, alikua analeta maneno matupu then mimi naleta ushahidi mezani mwisho wa siku akawaka matusi kibao .

Nikuulize mpaka sasa tunavyoongea saka kamzidi nini gordon ? Kitu pekee saka alichomzidi gordon ni dakika za kucheza tu
Vitu pekee saka kamzidi gordon ni dakika za kucheza na error leading to goal.

Nitajie saka kamzidi nini gordon mpaka tunavyoongea hapa
 
Naomba Nitajie timu kubwa iliyowahi kumtaka Wilson
 
Arsenal ikiamua kumuuza Saka January tutamuuza kwa 120M.

Gordon mtamuuza kwa shilingi ngapi?
 
Huyu kipemba wa nyukesto hua nikimpiga spana nne anajibu moja halafu anavizia usiku wa manane ndiyo anajichomoza.

Sasa leo nimemfuma nimempa spana mbili za nyongeza kakimbia. Hapo harudi hadi alfajiri
 
Huyu kipemba wa nyukesto hua nikimpiga spana nne anajibu moja halafu anavizia usiku wa manane ndiyo anajichomoza.

Sasa leo nimemfuma nimempa spana mbili za nyongeza kakimbia. Hapo harudi hadi alfajiri
hawezi kurudi mchana atavizia usiku
 
Chuma confirmed january kinasepa kama vip arteta akikaribishe tuView attachment 2836940
Arsenal wapo Makin Sana hawawezi kusajili mchezaji Kama huyu ,Pep alipigwa hapo amefikia hatua anamchezesha Stones na Akanji midfield,huyu hampi hata dakika 1


Arsenal inalenga wachezaji wapambanaji ,na wasio injury prone ,wakija wanaingia kwa timu moja kwa moja


Palhinha,Luiz ,n.k
 
Huyu kipemba wa nyukesto hua nikimpiga spana nne anajibu moja halafu anavizia usiku wa manane ndiyo anajichomoza.

Sasa leo nimemfuma nimempa spana mbili za nyongeza kakimbia. Hapo harudi hadi alfajiri
Anamuweka sentence moja Saka na Gordon


Huyo Mwehu kabisa
 
Kinachowauma watu wengi Arsenal imerejea kwenye Fluidity ya kutengeneza nafasi na kila mmoja anafunga

Baada ya Ødegaard kuambiwa acheze chini amuachie Uhuru saka

Sababu Saka ana Gene za attacking Midfielder na Ødegaard Ni attacking Midfielder,so hawatakiwi kucheza karibu karibu Sana ,ili Saka apate Uhuru na space


Mechi mbili zilizopita Ødegaard ka create chances nyingi kuliko mech 10 za mwisho ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…