Mbona post imejaa uoga hii nyie subirini kesho sawa iwaingie. Usiku wa deni haukawii 😂Ww ni nyumbu usijifananishe na sisi...Baki hukohuko...kesho ni sisi dhidi ya nyny...mambo ya kujifanya unaungana na wapingaji hmu tuone unarekebisha mwenendo wa klabu hatutaki....Kila mtu abaki na matatizo yake...nyny mna ya kwenu na sisi tuna ya kwetu🤠🤠🤠....Hamis77 ni mchambuzi nguli kiukweli kabisa🤠🤠
Wewe chawa wa Masingeli dawa yako ipo jikoni soon wewe na Masingeli mtalikimbia jukwaa😂Ww ni nyumbu usijifananishe na sisi...Baki hukohuko...kesho ni sisi dhidi ya nyny...mambo ya kujifanya unaungana na wapingaji hmu tuone unarekebisha mwenendo wa klabu hatutaki....Kila mtu abaki na matatizo yake...nyny mna ya kwenu na sisi tuna ya kwetu🤠🤠🤠....Hamis77 ni mchambuzi nguli kiukweli kabisa🤠🤠
Kuna sehemu niliwahi kulazimisha hoja zangu, why mnaumia kuhusu Kai ,na Mara nyingi naweka hoja ambazo kuzi defend mnashindwa mnaishia kubwabwajaSasa wewe unavyosema Erik hafai umewahi kufundisha timu gani mzee?
Mbona unaanza kuleta hoja za kinyumbu?
Binadamu tumejaaliwa akili, hizo ndiyo tunatumia kufananisha na kuchanganua. Akili zako zinakuaminisha Kai ni mchezaji mzuri kwa mwingine haipo hivyo.
Mimi hua nasema Pochettino mbovu wewe unasema ni mzuri na kila.mtu anatoka hoja zake. Kwanini kwa Arteta hutoi hoja unakimbilia hoja anazotakiwa kuleta nyumbu?
Mchezaji kabla ya kucheza mfumo fulan huwa anaambiwa na wanaufanyia kazi mazoeziniUnahisi hao players hata kama hawataki huo mfumo watasema mbele yake?
Walipandikizwa chuki kuhusu Kai havertz Sasa wanaunga telaIli wazee humu ndani mmezidi aisee haswa nyie fans wenzangu wa arsenal...mm sioni kosa la hamis77 yan hadi nyie mnafata mkumbo wa timu pinzan mnamsema..kwan kuna kosa mtu kutetea timu yake?? Hiv mnajua maana ya ushabiki nyie hata kama anaongea kwa mahaba sabb ni shabiki na hilo namsapoti badala nyie muwe na ushabiki basi kutwa mnamsema.
Kuna haja gani ya kuwa na jukwaa la.arsenal sasa ikiwa mashabiki wanamzodoa mwenzao?..haiingii akilini kuna shabiki wa timu nyingne anakuja kuprovoke hapa kisa kai na arteta then wote na nyie mnawaunga mkono.
Haya tuseme sawa kai hajui, arteta hajui sasa wewe kama fan wa arsenal impact yako nn zaidi ya kuzidi kuonyesha umoja sabb tayr ni timu yetu na ndo wa kwetu.
Acheni unafki bwana inaonekana humu watu wengi mna unafki sana yan sjui kwann hammkubali huyu jamaa wakati mm namterm as shabiki wa kweli hana hisia mbili mbili.
Acheni mambo ya kiswahili nyie fans wenzangu wa arsenal tuwe kitu kimoja msiwape wapinzan picha kwamba sisi wenyewe hatupendani, huo ni uswahili na unafki yan mtu anjiita kabsa shabiki wa arsenal halaf anamsema mwenzie maneno kibao kisa tu ana mdefend kai na arteta acheni mambo ya kiseng*.
Duh tayari tena namchukia Kai na ninakuchukia wewe?Kuna sehemu niliwahi kulazimisha hoja zangu, why mnaumia kuhusu Kai ,na Mara nyingi naweka hoja ambazo kuzi defend mnashindwa mnaishia kubwabwaja
Hili jukwaa la Arsenal kusema 7hag hafai kwan 7hag anafundisha Arsenal
Achen chuki ,Kama huwez kutetea hoja zako usinichukie Mimi
Acha kutukana watu , na Kama Hatuwez kufanana mawazo, why mnataka wote humu tukubali Kai mbovuTuliza Makalio huna cha kumpangia mtu cha kuongea wote ni Arsenal fans humu hatuwezi kufanana ideas so tulia
Umemsikiliza Mikel akiongelea kuhusu mfumo huu kwann tunaucheza ?Unakurupuka tu kijinga jinga tunaongelea mfumo humu wa sasa jinsi unavyopwaya so kama Hamisi anaukubali wengine wasiusemee ili?grow up young boy myself siwezi kuargue na anybody ambaye atakuwa kinyume na mwenzake sometimes hata bosi wetu hehehehe Hamisi nakubaliana sometimes sikubaliani nae licha wote ni Arsenal fans
Usinipakazie aiseeMasingeli umekuja na ID nyingine kuomba support kwa wale wanaopinga porojo zako?
Yaani Masingeli unataka humu watu wote wanaojiita ni mashabiki wa Arsenal basi lazima wakubali kua misukule?
Yaani humu hata mtu akipinga kitu kwa hoja bado anatasingiziwa kua ana chuki binafsi na Masingeli au yeye ni Mamluki.
Mbona kwenye majukwaa mengine ya Chelsea, Liverpool, Manchester watu wanapingana kwenye hoja na kuwakosoa wachezaji mpaka kocha lakini huoni wakibughudhiwa, wakibezwa, wakikejeliwa au kutukanwa na kuitwa mamluki, ila humu ukimpinga Masingeli tu moja kwa moja unaonekana wewe ni mhaini!!!!!!!
Humu wengi uwezo mdogo wa kufikiriEti haujawai kuwa kocha ata timu ya kanisa
Tuache upigaji ramliKesho akiwekwa Kai ushindi utakuja ila utachelewa.
Asipowekwa ni ushindi kwa uhakika zaidi
Gud challengeHii hapa ni kwa yeyote aliye humu ndani kwenye hili jukwaa.
Kikosi hua kinatangazwa saa moja kabla ya game.
Kocha akimpanga Kai namba yoyote iwe mid au ST wote tuje hapa tuseme kutokana na alichofanya nini pros and cons kisha mechi ianze tuangalie nani alikua sahihi.
Hii ni kwa yeyote.
Why tunapenda kuongea ushabiki ,Hahaha dah
Duh na matusi mmeanza.
Mpira siyo uchawi kwamba unafanyika sirini, upo wazi kila mtu anaona.
Nakupa mfano:
Aaron Ramsey alikua shit, na fans tukakubaliana na Wenger akakubali matokeo akaanza kumpa dakika kidogo kidogo. Baadaye akawa lit na fans wote tukakubali kwamba kweli Ramsey kaiva.
Shida inakuja hapa. Muda ambao Wenger ilibidi asubiri kujiaminisha kwamba huyu mtu anahitaji dk kidogo kidogo kuna games tulisuluhu zingine tulifungwa.
So kwa Kai Arteta anaamini kuna spark jamaa anaikosa na ataipata akimpa dk zaidi. Shida ni kwamba kutokana na hilo inabidi Gabriel akae benchi, Partey awe RB na upande wa Kai tangu aanze umekua ndiyo upande ambao hauzalishi mashambulizi.
Kwahiyo usidhani watu tukiandika ni kwa vile hatuangalii mechi na hatujui timu yetu imetokea wapi.
Wewe tafuta sehemu niliyowahi sema Jesus asisajiliwe.Tuache upigaji ramli
Kikos kitakachoanza kesho Ni kutokana na wachezaji mazoezini kupambania namba
Tupunguze chuki dhidi ya kai, hata Kama mchezaji humpend Basi tusifikie kupiga ramli akianza tutakawia kushinda ,
Wangapi humu mlikuwa hamtaki hata Jesus asajiliwe
Nketiah auzwe ,n.k
Leo wapo wapi
Tuache upigaji ramli
Kikos kitakachoanza kesho Ni kutokana na wachezaji mazoezini kupambania namba
Tupunguze chuki dhidi ya kai, hata Kama mchezaji humpend Basi tusifikie kupiga ramli akianza tutakawia kushinda ,
Wangapi humu mlikuwa hamtaki hata Jesus asajiliwe
Nketiah auzwe ,n.k
Leo wapo wapi
Uwe unaelewa.Why tunapenda kuongea ushabiki ,
Partey amecheza RB kabla hata Kai hajaja Arsenal ,hii hoja yenu inaonesha mlivyo na Chuki ,Partey amekuwa Bora kwa kuoikwa Lakini Partey alipokuwa ATM alikuwa anacheza Sana Defensive Game
Ushahidi huu hapaMikel kasema
Mikel Arteta:
"I really like like Thomas, and yes at the end it's not my invention, Thomas Partey as a right back
Many seasons ago with Atletico Madrid with one of best defensive coaches in the world, he played as a fullback."[Hayters tv]
Kwanini Unatumia chuki kwa Kai havertz kusema anampanga Partey fullback wakati amecheza kabla ya Kai hapo Arsenal ,amecheza CB na RB kwa Simeone
Hoja Kama hizi zinawafanya mnajaza chuki
Ndio Maana nasema humu uelewa wa mpira ni mdogo Sana