arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Tavares anataka akacheze wpi Sasa na ule mpira wake😅😅😅....hzo ndo timu za level yakeArsenal wakiuza Pepe,balogun ,Tavares na KT , Basi tutaongeza Beki na Winger
Why deal la kudus linafeli mara ya 2 , Brighton na Sasa Westham
Inasemekana Kuna big teams zitamaliza mchezo dk za mwisho
Tavares kakataa Kwenda Forest ilikuwa auzwe kwa £20_-30m
Wamevunja naye mkataba kwniGreenwood yupo available. Tumuite mezani tuongee naye
Wamevunja naye mkataba kwn
Madada wa asenali watawapopoeni😂Greenwood yupo available. Tumuite mezani tuongee naye.
Hapo ndipo kazi ilipoMadada wa asenali watawapopoeni😂
Sisi sio nyumbu timu inaongozwa na sauti za wakinamamaMadada wa asenali watawapopoeni
Greenwood yupo available. Tumuite mezani tuongee naye.
Sitashangaa Arsenal tukimuacha kwa sababu ya scandal yake. Huenda Kila atayetaka kumgusa ataona noma. Ni rahisi zaidi mtu akiwa kwako tayari, ila akitoka kwingine Kwa scandal timu zinaweza kuogopaSisi sio nyumbu timu inaongozwa na sauti za wakinamama
Kwanza sisi wachezaji dizain ya kina greenwood ndio tunawapenda
Greenwood yupo available. Tumuite mezani tuongee naye.
Madada wa asenali watawapopoeni
Sisi sio nyumbu timu inaongozwa na sauti za wakinamama
Kwanza sisi wachezaji dizain ya kina greenwood ndio tunawapenda
Tujikumbushe kidogo lakini Mpaka anasepa hata hayo mashindano yenyewe hakuyaonaView attachment 2726161
Karibia wote hawa hawauziki mkuu unajua sisi tunaviziwaga san na wapinzani sabb tuna presha ya vikombe vikubwa mfano sasa hv tunashindwa kusajili additional player japo 1 sabb tunatakiwa tuuze kwanza tyr hilo ni tatizo hivo mauzo ya balogun na traves ndio yanategemewa zaid kupunguza players pia kubalance manunuzi yetu na hao wote ni timu zinawahtaji kam patapotea ndio maana hawapo serious san wanatubeep alafu wanatuchek tutapunguza bei au vip ndio maan ukiwachek chelsea wanauza harak haraka nakununua ndio maan tulipomtak kai havertz hawajajiuliza mara2 wakatusukumia mzigo chap tuhangaike naoHere's the state of play on possible Arsenal departures. After a summer spend of around £200m, the focus is now on selling those who are not in Arteta's plans.
Balogun
Tierney
Holding
Tavares
Lokonga
Pepe
Cedric
#AFC @TeleFootball
Wanauzika vzr tu ,hebu fatilia vzr ,Kuna deal la Tavares lime collapse juz hapa walikuwa watoe £20-30mKaribia wote hawa hawauziki mkuu unajua sisi tunaviziwaga san na wapinzani sabb tuna presha ya vikombe vikubwa mfano sasa hv tunashindwa kusajili additional player japo 1 sabb tunatakiwa tuuze kwanza tyr hilo ni tatizo hivo mauzo ya balogun na traves ndio yanategemewa zaid kupunguza players pia kubalance manunuzi yetu na hao wote ni timu zinawahtaji kam patapotea ndio maana hawapo serious san wanatubeep alafu wanatuchek tutapunguza bei au vip ndio maan ukiwachek chelsea wanauza harak haraka nakununua ndio maan tulipomtak kai havertz hawajajiuliza mara2 wakatusukumia mzigo chap tuhangaike nao
Wameongeza dau?EXCLUSIVE: West Ham on verge of agreement with Ajax to sign Mohammed Kudus. Official #WHUFC bid for 23yo #Ajax attacking midfielder expected to be accepted. €41.5m + €3m + 10% sell-on. Personal terms in place on 5yr deal + option of 6th @TheAthleticFC
Huyu mwingine wamepita nae, tuanze kumzoea Pepe tu kweny RW
Huyo muhuni ni mafia SanaLeader ,Captain
A Declan Rice
£105m
Watu wake wa karibu wanasema bado Dec hayupo fit taratibu tutauona ubora wakeView attachment 2727158
Yaah wameongeza dau kwa taarifa zilizopoWameongeza dau?
Nimeona wameongezaYaah wameongeza dau kwa taarifa zilizopo