Bado hujanielewa tena...unazidi kukurupuka....anyway basi wacha tuende kwa level ya uelewa wako...sawa sisi hatuna makombe ndo maana hatuna vurugu basi tufanye hvyo mkuu
Kwani mkuu arsenal nyie mna kombeivi unajua toka 2004 ni almost 20 years ushangiliaji ni tofauti kabisa wa sasa na kipindi icho cha kina viera na lauren maya huko na kina pascal cygan unaongelea makombe ya 2 decades nyumamzee. Miaka 20 unaichukuliaje ?
15points hizi tukitulia vzr tunakomba zote ,15 points clearlyView attachment 2711415
Sema nini? Havertz hatujapgwa kbs. Amesajaliwa aje kupress sio kucheza mpira. Anajua kupress.
Mwanangu Labyrinth 84 wewe Asenyo unaijua nje ndani ndio maana hii misukule inakuchukia kinyama, yaani bora hata sisi wa Unyumbuni kidogo tunapendwa.Kwani mkuu arsenal nyie mna kombeivi unajua toka 2004 ni almost 20 years ushangiliaji ni tofauti kabisa wa sasa na kipindi icho cha kina viera na lauren maya huko na kina pascal cygan unaongelea makombe ya 2 decades nyumamzee. Miaka 20 unaichukuliaje ?
EwaaaHarvez mzee wa press resistant and water proof.
Elneny amebadilishiwa majukumu au maana yy haponagi....anakula hela ya bure tu hyu muhuni😅😅😅
Elneny ni mchezaji muaminifu kwa klabu amekuwa halalamik hata anapokosa nafas ,ni mtu muhimu dressing room ,Elneny amebadilishiwa majukumu au maana yy haponagi....anakula hela ya bure tu hyu muhuni
Yanakuja yote hayo,Tuanze na hili sasaHii picha Mchele na Kiazi wamependezea kwelikweli, itapendezea zaidi mwisho wa msimu wawe wameshika Medal za Epl au Uefa kabisa sio kuishia kuwashikasha sinia tu la ubwabwa. View attachment 2711615
Arsenyau wamesharidhika na huduma ya Chai Kiazi (Kai Harvez) stricker la pressing na magoli.Arsenal mkipata nampata Foward kama Lukaku mtakua vzur sana
Mwenye harakati kama za Lukaku...Big No....Lukaku Hana akili...tena kama sasahv ndo hamna kitu kabisa....big flop lileArsenal mkipata nampata Foward kama Lukaku mtakua vzur sana
Yaani nyie mpigwe kwa Lukaku alaf mtuingize chaka kwa mtu kama Lukaku tena....HAPANA....Lukaku ni mzigoArsenyau wamesharidhika na huduma ya Chai Kiazi (Kai Harvez) stricker la pressing na magoli.
Tatizo mpira mnaangalia juu juu ,mpira una Siri nyingiYanakuja yote hayo,Tuanze na hili sasaView attachment 2711646