Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna mtu wakumkimbia Jf humu ,Mimi nimeishi na wahuni ,nimeishi misheni kwa mapadri pia ,huwa nawaacha mtoe nyongo zenu na matusi ,

Safari hii nakula sahan moja na wahuni wote , maana kuishi na wehu tunaweza
Piga spana hawa kuku wa maziwa hasa man u ya 7hag
 
Kwao kumepoa mkuu usimlaumu.hatujabeba epl for 20years ila jukwaa lipo juuu.ndo maana mkuu Flano anaombea tusibebe ubingwa maana mitaa na majukwaa yatapata shida.
We know how to enjoy every moment of the game
Hata Twitter , fan base zinazosumbuana Sana ni manjesta vs Arsenal

Ndio maana hata ile friend match ,kocha wa manjesta alisema sio Friend match

Hawa wengine wanakuja humu kulazimisha fujo tu ,hasa hivi wanavyoona tunaimarika na wao wanashuka kama Liverpool ili wafanye sajil za maana mpaka wauze mchezaji kwa Bei kubwa ,Sera yao UZA NUNUA , Sasa walizoea kusema Arsenal wabahili, wanapoona tunaspend ,lazima wahofie maana top 4 inazidi kuwa ngumu kwao
 
Huna timu Baba, Huna team.
Unakaa unajaza ujinga wenzako humu na kuwadanganya mapopoma wenzako wa Asenyo. Ooh mara Kai sijui kafanyaje...... huyu Kai anaekimbia kama kapigwa jeki.
 
Hakuna biashara ngumu Kama kufanya na timu za Italy

Inter Milan sold Onana for €55m, A Goalkeeper they got for free last year, then they will come begging Arsenal with €25m for Balogun

I cannot stand Serie A clubs
 
Hizi ramli sasa we bado kijana achana na kazi ya uganga
Hana hoja anataka tushindane ujinga, wakati tuna mambo muhimu ya timu yetu kujadili

Kuna usajili wa Raya upo karibun kukamilika

Kuna usajili wa RW ,na Beki

Kuna dalili tukaspend £300m

Madirisha mengine tutakuwa tunasajili mchezaji mmoja au wawili tu
 
Hakuna biashara ngumu Kama kufanya na timu za Italy

Inter Milan sold Onana for €55m, A Goalkeeper they got for free last year, then they will come begging Arsenal with €25m for Balogun

I cannot stand Serie A clubs
Wajinga sana...kwa Lukaku walivyoona tu wenzao Juve nao wameingia ulingoni wakanuna....Sasa sijui wanadhani kwa miaka hii wacheza wa buku jero utapata wapi
 
Mkuu usipost haya mambo hujui Flano anataka na rice awe kama sancho au wighorst mzee wa mikimbio mizuri.?jamaa mimi nampa mwaka kabisa najua atapafomu tuu
 
mechi zenu nane(8) zilizopita dhidi ya Manchester city ,, Zote amewagonga , hamjaambulia hata Draw.... nasemaje hata draw.

Leo mkapunguze idadi ya magoli kwa beki ya GABRIEL(kichwa cha bata)
 
Hakuna biashara ngumu Kama kufanya na timu za Italy

Inter Milan sold Onana for €55m, A Goalkeeper they got for free last year, then they will come begging Arsenal with €25m for Balogun

I cannot stand Serie A clubs
Wapuuzi bahili mno kwenye kununua na wana tamaa mno kwenye kuuza
 
Kwao kumepoa mkuu usimlaumu.hatujabeba epl for 20years ila jukwaa lipo juuu.ndo maana mkuu Flano anaombea tusibebe ubingwa maana mitaa na majukwaa yatapata shida.
We know how to enjoy every moment of the game
Flano ni nyumbu aliekomaa akiamua kusimamia ujinga huwa haambiliki

Mount anamkataa Omama anakuambia ni bonge la kipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…