Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sawa !! Tusubiri phase 4 ianze hapo August, malengo ya phase 4 ni yapi mwaka huu ili tujue mapema sisi mashabiki wachanga tusiweke big hope yakatoke ya april & may
Generally timu kubwa malengo hua yanakua

1) Ligi
2) UEFA/ Europa
3) FA
4) Carabao

Ila kutokana na uhalisia wa kikosi malengo yanaweza kubadilika. Kutoka ligi mpaka top four
 
Generally timu kubwa malengo hua yanakua

1) Ligi
2) UEFA/ Europa
3) FA
4) Carabao

Ila kutokana na uhalisia wa kikosi malengo yanaweza kubadilika. Kutoka ligi mpaka top four

Kwa arsenal hapo na uhalisia wa kikosi cha sasa vipi lengo ni nini haswa as arsenal fan?
FA cup sidhani kama kuna fan yeyote wa arsenal anamzuka nalo.
 
Baada ya debut mechi iliyofuata alicheza Nuremberg?

Tulioangalia debut na mechi zilizofuata tunakubaliana kwamba debut alikua hovyo ila akaimprove hatusemi kawa world class
.
Ila kaimprove. Hatujamfananisha na Stones wala Ake
Huyo jamaa anaponda Arsenal tu ,alidai amehamia city ,lakin Kaz yake ni kuponda kila kitu kuhusu Arsenal ,

Kazi kweli kweli
 
Generally timu kubwa malengo hua yanakua

1) Ligi
2) UEFA/ Europa
3) FA
4) Carabao

Ila kutokana na uhalisia wa kikosi malengo yanaweza kubadilika. Kutoka ligi mpaka top four
Mara mshabiki mchanga mara amehamia city , hakuna jema kwa Arsenal

Arsenal malengo sio top 4 hata usajili unasadifu hivo
 
Finally


Declan Rice’s move to Arsenal will be formally announced by both clubs tomorrow (Saturday).
 
BREAKING: Declan Rice's transfer will be formally announced today

Rice will then join Arsenal on their US tour, due to depart on Sunday.

- talkSPORT sources understand.

LISTEN: talkSPORT.com/Live
 
Declan Rice will be finally unveiled as new Arsenal player today.


No issues, it was just matter of time.

Done and sealed.
#AFC

Fabrizio
 
👉Katoa £65m na hajui amtumie wapi. Huyu mlenda Havertz mpaka anaondoka Chelsea hakuna position aliyofit vizuri. Ikumbukwe wachezaji wengi walipotoka Chelsea kwenda Arsenal waliishia kuwa flops. New flop in town only time will tell.

Mikel Arteta on Havertz "We have to see how he adapts and obviously get to know each other and build relationships. Football is about that and time will tell where he fits in best"
 
Kai anacheza nafasi nyingi , soon utaona atacheza wapi

Wachezaji wote anasajili Arteta wanacheza nafasi Zaid ya moja , ni lazima mtafutie nafasi sahihi aendane na wenzie

Sitashangaa akianzia bench taratibu kabla hajawa starter

Imetokea hivo kwa wengi aliowasajili Arteta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…