Kwa idadi ya mashindano na style of play ambayo huwa naamini nayo ni sehemu ya kusababisha majeraha basi ni vema partey akabakiKama Xhaka ameuzwa Partey abaki....wasivuruge kiungo chte cha msimu ulopita....Lavia anaweza kuja ku take over kuanzia msimu ujao maana bdo ana miaka 19 tu...na tunahitaji winger mwingine upande wa Saka...Nelson peke yke hatoshi baada ya hapo we are good to go
Partey Kuna asilimia kubwa tukabaki nae ,labda ije ofa ya maana yakuwashawishi Arsenal kumuuzaKama Xhaka ameuzwa Partey abaki....wasivuruge kiungo chte cha msimu ulopita....Lavia anaweza kuja ku take over kuanzia msimu ujao maana bdo ana miaka 19 tu...na tunahitaji winger mwingine upande wa Saka...Nelson peke yke hatoshi baada ya hapo we are good to go
Combo ya midfielders inategemea unacheza na NaniPartey Kuna asilimia kubwa tukabaki nae ,labda ije ofa ya maana yakuwashawishi Arsenal kumuuza
Partey mwenyewe anasema hataki kuondoka
Naiona Arsenal ikicheza jumanne na Kiungo strong , Jumamosi EPL ikicheza na Kiungo strong
FA & Carabao viungo strong View attachment 2683184
Adobe hiyo mkuu, huyo ni Ben white
Ingekua mpira ni rahis hivyo, nyie kondoo mngekua hat na kakombe kacomference.Combo ya midfielders inategemea unacheza na Nani
Nyumbu, kenge fc, watakula FIMBO kutoka A
Utapigwa mwingi hadi utamwagika
City, liver, hawa wazee inabidi uwaendee na B
Newcastle, Spurs, Brighton hapo ni A or B
hii combo ya C unawaua Kenge chelshit fc, na wote wanaotaka kushuka daraja
Odegard is master key
Kenge wa darajan jiandaen kushuka daraja na kugawa points 6 Tena kwa msimu wa 3 mfululizo ,Ingekua mpira ni rahis hivyo, nyie kondoo mngekua hat na kakombe kacomference.
Mnapga mpira wa mdomo halaf hata kombe la ulaya hamna.
Hakuna timu Dhaifu EPL kwasasa Kama kenge za darajaniCombo ya midfielders inategemea unacheza na Nani
Nyumbu, kenge fc, watakula FIMBO kutoka A
Utapigwa mwingi hadi utamwagika
City, liver, hawa wazee inabidi uwaendee na B
Newcastle, Spurs, Brighton hapo ni A or B
hii combo ya C unawaua Kenge chelshit fc, na wote wanaotaka kushuka daraja
Odegard is master key
Usajili wa Rice na timber ukikamilika officially kinakuwa ndio kikos chenye thaman kubwa duniani £1B+Kuna watu hawajaelewa walivyosikia Arsenal ina kikosi chenye thamani ya Bilioni moja
Siyo kwamba imetumia Bilioni moja kununua wachezaji ila thamani ya wachezaji wake wote ikijumlishwa inafikia 1B.
Hesabu zikipigwa kufuata gharama Arsenal ilinunua wachezaji wake actually kikosi ni cha 650M+ ila current value ndiyo inafikisha hiyo 1B
Nimependa Sana hii article,imetuliaMikel Arteta is smelling blood. He’s about to unleash three hybrid playmakers, two inverted full backs, two ball playing CB and a single defensive pivot in the same starting lineup. That’s crazy. Who annoyed this guy? Who? Someone should tap Mikel and let him know it’s just football. No be war!!!!
I don’t think he’s trying to win few trophies. I think he’s trying to dominate. He want to do the same thing his boss Pep did. You still don’t understand? Follow me.
When Mikel discarded a very good GK Bernd Leno and paid £30m for a goalkeeper who went to relegation twice (Ramsdale) and £50m for a defender with no name (White).
The fan base went into meltdown. They called the transfer waste of funds. Opposition fans joined in too. They mocked us.. They trolled us. Today, how much did you think Rambo and Benco will cost in today’s market? A fortune yeah? Give Mikel im his flowers. His talent ID is second to none.
But I was firm in my believe and trust in Mikel’s process. You know why? Top managers and coaches saw Mikel as a future coaching legend. From Arsene to Mourinho. From Pep to Pochetino. From Enrique to Klop. They saw what most couldn’t see. Their comments solidify my trust in Mikel. Arsenal struck a jackpot in a manager.
When Chelsea agreed to sell Havertz to us. I said they’re making the same mistake they made on KDB and Salah. Kai will be a hit at Arsenal and it’s going to be because Arsenal already has the system that suits his play and bring out the best in him. Go back and watch his clips at Leverkusen.
Havertz is a Thomas Muller raumdeuter kind of player. He’s an auxiliary shuttled libero in a mediocentro role playing off regista (Odegaard) and introverted trequartista with a forward supporting libero flanked by an overlapping inverted wingback as part of a gegenpressing modern cattanaccio system. Make una go learn football tacticos to understand what I’m saying here.
During the legendary Alex Ferguson’s last season as manager. He was desperate to leave on a high. He noticed his neighbors are about to dominate and he need to wrestle back the EPL from them. He needs standout players. He looked at Arsenal. He knows Arsenal ain’t that solid during Wenger’ latter years but keep getting top4. He sensed their must be a catalyst.
Who? RVP. He sold United’s ambitions to RVP and our captain turned against us and joined the enemy. Truth be told. RVP made the right decision for his career. As bitter as that may sound. He was single-handedly pushing us. Take RVP out of that Arsenal team and we’ll be fighting relegation.
Mikel is doing the same. Take Rice out of Westham and they’re relegated. Take Havertz out of the Chelsea team of last season and they’re in relegation waters. I know Chelsea fans will argue this but it’s the truth. Stats don’t lie. I looked into some Kai Havertz data and I've got to say that Chelsea ARE CRIMINALS. They almost wasted a generational talent.
Mikel want a possession based team. In a possession based team, a player must be ready to play multiple roles at a time depending on opposition.
Mikel basically can coach football in the way Pep wants it, accurately recruit players in the way Pep recruits them, repurpose player roles in the way Pep can. His team will be as mentally resilient as the best at it in the sport. Why? Because, ultimately, teams grow into a reflection of their own manager's personality.
Just like Pep. Mikel wants his goalkeeper to be his libero. In modern football, the Libero is your no5. That’s why elite coaches requires a ball playing goalkeeper for their teams. Remember how Pep changed his goalkeepers until he got Ederson. The same way Klop payed an astonishing £85m for Alison. Aaron Ramsdale has same profile as both. But Alison is still their father.
Mikel wants an inverted full backs. He wants his left back to invert into midfield so the defensive MF can move forward and join his forwards to increase their number while in opposition half. He wants his right back to do the same thing Zinchenko was doing last season hence he’s paying €45m to Ajax this morning for the signing of versatile Jurrien Timber. This allows Ben White to move back to his preferred CB position where he can partner either Gabi or Wilo.
This team has grown into the reflection of their manager. They’re moving to the next level. Mikel is about to unleash a complete technically gifted 11 players and an excellent bench for next season. Arsenal fans, we endured the years of “transfer sapa”, it’s our season of sugar daddy. Enjoy it. Revel in it. Troll opposition fans. Banter them. You have a team on your hand and it can only get better.
Mimi nimecheka huku naogopa kwenye hii statementNimependa Sana hii article,imetulia