Angebaki kama squad player.Nasikia wanamnyemelea ,tuwauzie kwa €50m
Yeye na Nketiah mmoja inabidi aondokeAngebaki kama squad player.
Hiki kikosi ata mimi kinanitisha, tutaenda kuvunjiana heshima na watu mtaani
Namuona nyumbu akifa nje ndani 6+ goals
Kenge chelshit huyu ndio tutambaka kabisa
Liverpunda anaenda kunipa 6 points
City azuie sare, tofauti na hapo tunabeba 6 points
hawataleta timu uwanjani
Kiherehere chao ndo uwa kinawaponza.Sisi kazi yetu ni kuhifadhi comment kama izi ili inapofika April mwakani tuanze kuzichomoa wakati watu wanalia na kusaga meno.
Patino bado sana huyo.Yeye na Nketiah mmoja inabidi aondoke
Tatizo anataka nafasi kikos Cha kwanza ,hata Patino pia anataka hivo ,hawataki kuvumilia
Ndio maana yeye na Nketiah inabid mmoja aondoke
CF kuna Jesus , Kai , Nketiah, Trossard
After all Patino ni kiungo.NnYeye na Nketiah mmoja inabidi aondoke
Tatizo anataka nafasi kikos Cha kwanza ,hata Patino pia anataka hivo ,hawataki kuvumilia
Ndio maana yeye na Nketiah inabid mmoja aondoke
CF kuna Jesus , Kai , Nketiah, Trossard
Si mlikua mnataka ligi!Kwanini msifukue wakat ligi inaanza hamkutuweka hata top 6 ,baadae tumeshika no.2 mnaona tumefeli
Mimi narudia tena Safari hii patachimbika
Ligi inaanza hata top 6 hamkutuwekaSi mlikua mnataka ligi!
Kwa hio zile Hashtag zenu zaLigi inaanza hata top 6 hamkutuweka
Hamuoni nyie ndio mliaibika
Kama Chelsea waliotumia £600m mwisho wakagombea kushuka daraja
Sidhan Kama unajua ratiba yangu yote , ila nadhan unaulizia kuja kujibishana matusi na nyie wenye hasira maana ligi inaanza manjesta simlikuwa mnasema Ni Title contenderKwa hio zile Hashtag zenu za
#Asenyo Ndoo
#Haaland Kiatu
Zilikua ni za kuwahadaa tu mashabiki wa Arsenyau?
Ila mzee baba kwa nini baada ya kuanza kupigwa comebacks na kina Westham ulikimbia jukwaa na kwenda kujificha kusikojulikana na kusababisha taharuki kubwa mpaka mashabiki wenzio wakaanza kukutuhumu kua wewe ni mhaini?
Kama Xhaka ameuzwa Partey abaki....wasivuruge kiungo chte cha msimu ulopita....Lavia anaweza kuja ku take over kuanzia msimu ujao maana bdo ana miaka 19 tu...na tunahitaji winger mwingine upande wa Saka...Nelson peke yke hatoshi baada ya hapo we are good to goDeclan Rice has known Arteta’s plan for him since the pair met early this year & other suitors were always playing catch-up. Arteta wants Rice to be the linchpin for an evolved version of the 4-3-3 that served Arsenal so well last season.
[@NickAmes82]View attachment 2683005View attachment 2683007
Partey naona tunabaki nae msimu huuKama Xhaka ameuzwa Partey abaki....wasivuruge kiungo chte cha msimu ulopita....Lavia anaweza kuja ku take over kuanzia msimu ujao maana bdo ana miaka 19 tu...na tunahitaji winger mwingine upande wa Saka...Nelson peke yke hatoshi baada ya hapo we are good to go
Taarifa njema sana hiiPartey naona tunabaki nae msimu huu