Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwaiyo hawa chelsea ni kujichukulia tu wachezaji
 
Kwaiyo hawa chelsea ni kujichukulia tu wachezaji
Niliwahi kusema ,ule Usajili wa ovyo waliofanya Chelsea ,msimu huu itakuwa nikujiokotea tu wachezaji

Walisajili wachezaji wengi wazuri bila kuzingatia profile ,na Wanataka wacheze style ipi

Unakuta namba 1 ina wachezaji watatu wanafanana
 
Chelsea wasitukazie Sasa Kama wanavyowafanyia manjesta kwa mount
 
Chelsea wasipokaa makini watu watagawana wachezaji wao ,waanze na Moja

Naamini hata mudrky tutakuja kumpata kwa Bei chee
 
Arsenal ilifanya mazungumzo chanya na Kai Havertz na mchezaji huyo anapenda kuhama. Chelsea wanataka karibu £75m kwa Havertz, lakini Arsenal hawatalipa kiasi hicho. [@FabrizioRomano]
 
Utaratibu wa usajili msimu huu umebadilika

Arteta na Edu hawataki Tena zile fujo za Chelsea , wanafanya Dialogue kwanza ,then inatumwa ofa Moja ambayo jibu litakuwa YES


Ile ya kutuma ofa inakataliwa ,unatuma Tena ,ilifanya Chelsea awe ana hijack deals



Arsenal plan to make West Ham an offer for Declan Rice soon. There has been positive dialogue around the matter. There is no desire at Arsenal to waste anybody’s time & so they plan to formalise their efforts once the situation is in good shape. [@David_Ornstein] #afc
 
Chelsea wasitukazie Sasa Kama wanavyowafanyia manjesta kwa mountView attachment 2657454
Moja --Sisi na Chelsea hatujawahi kushindwana kwenye biashara ya wachezaji kabisa,
Pili -- wanaitaji kupunguza kundi kubwa sana la wachezaji kwaiyo kujitoa kwa Madrid kwenye dili ya hili kuna uwezekano mkubwa wakashusha bei na deal likakamilika soon.
 
Moja --Sisi na Chelsea hatujawahi kushindwana kwenye biashara ya wachezaji kabisa,
Pili -- wanaitaji kupunguza kundi kubwa sana la wachezaji kwaiyo kujitoa kwa Madrid kwenye dili ya hili kuna uwezekano mkubwa wakashusha bei na deal likakamilika soon.
Yah nimeona maongezi yameenda vzr

Dili zote mbili ,upande Kai wameomba Chelsea ashushe Bei

Kwa Rice Ni swala la muda
 
Huu utaratibu wa Sasa nimeupenda maongezi kwanza , ikitumwa ofa inarudi na FULL AGREEMENT REACHED


Talks around Rice are positive. Bid to come soon. Arsenal want to make a proposal that will not waste anyone's time

(@David_Ornstein - Tier 1)
 
Chelsea inaonesha watakuwa tayari kutupunguzia Bei kwa Kai


Fabrizio anasema

More on Kai Havertz. Sources feel that Chelsea could be flexible about price tag after initial £75m request considered too high by Arsenal.
#AFC #CFC

Player’s keen on the move, it could help Arsenal in the negotiation.

Real Madrid won’t even pay £50m for Havertz as of now.
 
Kai mnapigwa peupe,,,,

Akienda league1 anaweza kushine, epl ni ngumu kwake,,,,,
Mwalimu wetu anasajili mchezaji kwa profile maalumu ili amtumie kutokana na playing style

Kumbuka Arsenal tayari tuna foundation ya uchezaji ,Ni rahisi kujua mchezaji fulani akicheza hapa atatoa Nini

Hii Ni tofauti na Manjesta bado wanajitafuta katika aina ya uchezaji ,

Hata Gorginho yalisemwa mengi Sana , but jamaa hata hakuchukua muda anacheza vzr tu, Trossard pia ,
 
Arsenal want to make sure everything is in place and informally agreed before presenting the bid, to avoid a transfer saga of several bids, hence the hold up
 
As per Chelsea journo @siphillipssport on Arsenal and Havertz -

Sources report that any deal for Kai Havertz to join Arsenal is ‘way off’ for now. There has been early contact with the player, but none yet between the clubs. Arsenal are focusing on Moises Caicedo and Declan Rice. Chelsea asking for big money.

Obviously not saying it won’t happen, it has a decent chance of happening. But that’s the state of play for now as far as we understand.

(via patreon)
 
Hivi wadau huyu Kai Havertz ana Nini Cha ziada mpaka atakwe na Arsenal, Bayern na Real Madrid?... Mimi Huwa namuona mchezaji wa kawaida tu!.. tena ni mvivu sana huyu jamaa!.. nipo nafikiria kama ataweza kumuweka benchi Emile Smith Rowe akiwa kwenye ubora wake kama msimu wa 2021/2022 alipokuwa mfungaji wa pili Kwa kuwa na magoli mengi nyuma ya Saka!.. au Mimi ndio sijui? Anyway! Kwa kuwa Arteta namuamini sana Arteta, Naamini anajua namna gani atamchezesha Ili kutoa matokeo chanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…