Arsenal (The Gunners) | Special Thread

There has been disappointment at Arsenal that Partey, 30, dominated matches for two thirds of the past season, then regressed to his performance levels of the previous two campaigns.

(@garyjacob )
Kumekuwa na masikitiko kwa Arsenal kwamba Partey, 30, alitawala mechi kwa theluthi mbili ya msimu uliopita, kisha akarudi kwenye viwango vyake vya uchezaji vyema katika kampeni mbili zilizopita.
 
Caicedo anaenda Chelsea kwa sababu anataka kushinda uefa.
 
Arsenal are eyeing a big transfer move for Kai Havertz. According to Matt Law of The Telegraph, the German forward does not want to remain at Stamford Bridge. He ticks a lot of Arteta’s boxes - progressive carries, can play multiple positions, solid presser. A great fit
 
Matt Law DT

Anasema Arsenal wapo seriously na kumtaka Kai Havertz

Madrid wamejiondoa wamesema hawapo tayari kulipa €60m ,hii Ni Kama £55m

Kwasasa Arsenal wanamalizia dili la Rice {£100m} ,Kisha watamgeukia Caicedo ,

Mwisho Ni Gundogan Kama itakuwa ngumu nikumgeukia Kai

Nikionacho kwenye lists ya #8 progressive Top Ni Gundogan ,anafata Kai

Akipatikana Caicedo Basi Partey atauzwa

Gorginho nikipenzi Cha Arteta huyu atabaki

Midfield itakuwa

Rice
Caicedo/Partey
Gundo/Kai
Odegaard

Rice 90% tutampata
Caicedo 70% tutampata
Gundo 50% tutampata
Kai 70% tutampata
 

Kai?????????
 
Kai kwenye eneo alilokua anacheza Xhaka OMG

Ila sioni deal hili likikamilika maana pesa kubwa zitatumika kwa Rice na Caicedo kama akipatikana.
 
Kai kwenye eneo alilokua anacheza Xhaka OMG

Ila sioni deal hili likikamilika maana pesa kubwa zitatumika kwa Rice na Caicedo kama akipatikana.

Tomiyasu is injury prone, White not a suitable replacement. We need a formidable No. 2, considering that we have multiple competitions ahead of us, thus squad depth
 
New report -

Declan Rice is set for Arsenal

(@MikeKeegan_DM - Tier 1 for ManU)

dailymail.co.uk/sport/football…
 
️ | TRANSFERS: United out of the race for Arsenal target.

: The Daily Mail’s Mike Keegan (@MikeKeegan_DM) has confirmed that Arsenal are set to sign West Ham midfielder Declan Rice with Man United out of the race.

Keegan: “But it appears inevitable that West Ham's brilliant 24-year-old will join a direct rival (Arsenal) for around £100m.”

The Gunners are on the verge of completing a club-record deal for Rice with all sources stating that Arsenal will sign the sensational midfielder this summer.
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
#AFC #Transfers #WHUFC #MUFC #Rice
 
️ | TRANSFERS: Arsenal want Rice deal done this week.

: Transfer guru Fabrizio Romano has confirmed that Arsenal will intensify their efforts for Declan Rice this week with the club wanting to wrap the deal up as soon as possible.

Romano: “Yeah, I think this week is crucial. This week things could happen with Arsenal to enter in direct contact with West Ham to try and reach final agreement. So, my answer is yes, they want to get it done.”

The Gunners have reportedly launched a £90m + add-ons bid for the 24-year-old with only the last details needing to be sorted out.
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

Personal terms not an issue. Player wants move.
#AFC #Transfers #WHUFC #Rice
 
Hapa mchawi wa hizi kazi ni David Ornstein tu hawa wengine wanazunguka sana
 
| Arsenal are close to bolstering their midfield with the signing of West Ham’s Declan Rice and could give Kai Havertz a chance to use his creativity and play in attacking midfield more. #afc
 
Taarifa zinasema Arteta anamtaka Kai havertz Kama RW na AM pia atumike Kama False 9

Sio double #8 Kama inavyofikiriwa na wengi

Madrid kajitoa , Arsenal wanataka Chelsea ashushe Bei ya £70m ,wafanye biashara
 
Arsenal, could give Havertz a chance to use his creativity and play in attacking midfield more. It remains to be seen whether Chelsea would sell to their London rivals.

Their options may be limited if Madrid manage to sign either Kane or Mbappe.

Bayern and City also have interest in Havertz

(@JacobSteinberg - Tier 1 )

theguardian.com/football/2023/…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…