Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,107
- 3,189
Hivi unaelewa hata maana ya squad depth?
Ukitoa man city, timu gani nyingine Ina GD kubwa ya kuizidi arsenal?
Huyo central striker nani unayetaka asajiliwe, mwenye uwezo wa kumweka nje Jesus na Trossard ukimtoa osihmen
Squad depth? Kwa arsenal
Stones , Ake na Grealish kuna muda walisugua benchi haswa tena si msimu moja lakini walikuepo man city na now tunaona matokeo yake !! Tierney msimu huu tu tayariii anataka kupigwa bei!! Jesus alivyokuwa injury kuna muda combination ya trossard, martinelli, saka ilikubali sana hasa trossard nashangaa akaanza kula bench trossard!
Arteta ni kama alikariri mchezo moja tu hakuwa na alternatives just cheki kuna muda trossard alicheza namba ya saka or vile saka akiwa hayupo uone mpira wa ovyo unavyochezwa upande wake . Kocha kama ana njia moja tu hata hio squad iwe kubwa kiasi gani it will be nothing!!!!