Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Amkeni amkeni nyie arsenyani mna raha gani????? Eti mlikuwa mnatusema karabao sio kombe? Wapuuzi kweli sasa tuambieni kombe lenu ni lipi???
Tena nawashauri badilisheni jina la timu ili hiyo laana iwatoke
Umeandika ujinga.Arsenyani na Brighton zote zinaonyesha classic symptoms za mid table teams.
Brighton yeye anakomaa na timu kubwa anaishia kugongwa na timu ndogo, Arsenyau nae misimu yote ukiacha huu anaenda vice-versa anakomaa na timu ndogo halafu anagongwa na timu kubwa, miaka zaidi ya 8 akashindwa hata kunusa top4.
Arsenyo na Brighton zote ni dugu moja (mid table teams) tofauti yao ni vile Arsenyeto msimu huu amebahatika kuingia kwenye top 4.
Mashabiki wa arsenyani mmekubali kuto kutumia akili zenu kabisa nyie ndo mlisema mta dominant hii ligi kwa miaka 10 nyie ni vichaa tunajua.Umeandika ujinga.
Ila sitakufuata katika level yako ya ujinga.
Misimu miwili nyuma ikaamuliwa kuwepo super league ambayo zitashiriki timu kubwa pekee au timu ambazo zinaonyesha consistent.
Spurs aliingia kwa kuonyesha consistency. Arsenal aliingia kwakua ni timu kubwa.
Brighton aliingia kama nani? Kumbe hata hakuingia.
Wakati mwingine hua ukiniquote sikujibu kwasababu naona una ujinga mwingi.
One season wonder ?? Toa na sababu sio unakua kama mganga.Msitegemee kabisa msimu ujao mambo yatawaendea vizuri kama msimu huu.
Ilikua ni one season wonder, Ucl mnaenda kuchomolewa kwenye makundi kisha mnarudi tena Europa halafu msimu ujao kama kawaida yenu hio top 4 mtaishia kuisikia tu.
Hata wewe umeandika ujinga pia.Mashabiki wa arsenyani mmekubali kuto kutumia akili zenu kabisa nyie ndo mlisema mta dominant hii ligi kwa miaka 10 nyie ni vichaa tunajua.
Nasikia kwa sasa ndugu yenu hamis77 yupo milembe anapata matibabu ya afya ya akili ndo maana kapotea hapa.
Najua maumivu ya arsenyani mnayopitia jikazeni tu.Hata wewe umeandika ujinga pia.
Nitakupa same treatment, sitahangaika kuifikia level yako ya ujinga.
Umeandika ujinga.
Ila sitakufuata katika level yako ya ujinga.
Misimu miwili nyuma ikaamuliwa kuwepo super league ambayo zitashiriki timu kubwa pekee au timu ambazo zinaonyesha consistent.
Spurs aliingia kwa kuonyesha consistency. Arsenal aliingia kwakua ni timu kubwa.
Brighton aliingia kama nani? Kumbe hata hakuingia.
Wakati mwingine hua ukiniquote sikujibu kwasababu naona una ujinga mwingi.
Leicester kachukua EPL. Msimu huu yuko wapi?Kipi kinafanya arsenal kua timu kubwa, arsenal sio timu kubwa , kipi kinaifanya arsenal kua timu kubwa? Timu haina epl miaka20 unaita timu kubwa timu haina uefa hata moja unaita timu kubwa , timu haijacheza uefa miaka zaidi ya miaka 6 unaita timu kubwabasi sawa taja mwaka ambao arsenal kacheza tu robo fainali uefa ni mwaka gani? Leicester city kachukua ubingwa miaka 7 iliyopita kacheza mpaka sijuii robo fainali ilee miaka 5 nyuma
Ila arsenal ana miaka zaidi ya 13 hajaingia hata robo fainali ya uefa. Ukubwa wa arsenal uko wapi hapo.
Arsenal si timu kubwa
Inatia uvivu kujibu maoni ya mtu ambayo msingi wake ni hisia zake tu. Anakua hafikirii sawasawa ataandika ujinga na emoji mbili tatu kisha anakuquote.