Akamatwe haraka sn.hamis77 huyu kwa alivowadaganya wenzake asipochukulia hatua haitakua fundisho kwa wengne.
Huyu akamatwe awekwe ndan Pa1 na wajinga wenzake wengne hapa wote washikilie kwnz kwa tuhuma za Ugaidi ili wakose dhamana na baada ya hapo washtakiwe kwa kosa la utapeli ama ulaghai wa maneno zidi ya wenzao
hamis77 akamatwe kwa kosa la Ugaidi
Na ukiwakuta wanachambua soka utadhani wana degree ya soka wakati soka wameijulia tu kwenye TV za vibanda umizaHawa mbwa hatuwaonei huruma hata kidogo, huwa wanakuja kutusumbua sana kule kwetu.
Hao academy wacheze UCL?, Group stage tu hao wanatimuliwa, weka hii kumbukumbuKumbe nguvu zote zile ni ili mcheze UCL 😂😂
yeahp! Shida ni vijana wasio hata na ndevu kushinda na wanaume wazoefuArsenal msimu ujao ndiyo watapoteana kabisa maana kwenye usajili hamtaweza ku-battle na timu zenye project zinazoeleweka. Nyie na Arteta wenu mmeithibitishia dunia kuwa ni bottlers.
Wachezaji wenu pia bado ni wadogo sana. Hii hali ya kukosa ubingwa au kombe lolote msimu huu pamoja na kuwa bora (mlivyojiaminisha) itawakata moto sana.
Unaambiwa mpaka dakika hii hamis77 yuko kwenye mikono salama akilisaidia jeshi la polisi na intelijensia ya nchi kuelezea huo uhaini wao wa kujitangazia ubingwa kabla ya ligi kuisha na kuleta taharuki kubwa kwenye jamii inayowazunguka, mfadhili wao ni nani na malengo yao hasa ni yapi?hamis77 huyu kwa alivowadaganya wenzake asipochukulia hatua haitakua fundisho kwa wengne.
Huyu akamatwe awekwe ndan Pa1 na wajinga wenzake wengne hapa wote washikilie kwnz kwa tuhuma za Ugaidi ili wakose dhamana na baada ya hapo washtakiwe kwa kosa la utapeli ama ulaghai wa maneno zidi ya wenzao
hamis77 akamatwe kwa kosa la Ugaidi