Kwaiyo furaha yenu sisi tutoke top 4Hii kazi ya kumtoa Nyumbu top 4 tumkabidhi Astonvilla naona wapo seriously sana
Shabiki la chelkenge Hilo ,unabishana nalo la NiniSasa wewe binti hawa newcastle tushacheza nao wakapaki basi hua naona mnaitaja kama timu tunayotakiwa kuiogopa. Wewe binti judgment yangu haitokani na magoli ni inefficiencies zinazotokea hapa
Hamstahili Kubaki top 4Kwaiyo furaha yenu sisi tutoke top 4
poleni sisi sio Arsenal haiwezekani kupita misimu miwili tusiende uefa never.Hamstahili Kubaki top 4
Angalia mpira wenu ,hata magoli yenu ,GD fananisha na hawa top 10
Mpo nafas msiyostahili kuwepo
Shabiki la Chelsea Hilo ,timu tumeiacha points 30+ unabishana nao wa Nini ,Ni matumizi mabaya ya MBSasa kama hii chance ya sasa hivi defense ilikua wapi? Chura wewe
Kwa huyu tapeli 7 hag mtasugua Sanapoleni sisi sio Arsenal haiwezekani kupita misimu miwili tusiende uefa never.
Nipe prediction yako ya top 4 kwanza unaona Nani wakututoa pale.Kwa huyu tapeli 7 hag mtasugua Sana
Tatizo Spurs na Brighton hawapo seriously ,muda huu mngekuwa nafas za Chelsea na LiverpoolNipe prediction yako ya top 4 kwanza unaona Nani wakututoa pale.
Mbona unatapa tapa nipe prediction ya big 4 maana hata wewe timu yako tu ujui itamaliza ya ngapi.Tatizo Spurs na Brighton hawapo seriously ,muda huu mngekuwa nafas za Chelsea na Liverpool
Kwasasa nampa hiyo Kaz astonvilla
Toka ligi inaanza mm niliweka wazi tutagombea ubingwa na vigezo niliwekaMbona unatapa tapa nipe prediction ya big 4 maana hata wewe timu yako tu ujui itamaliza ya ngapi.
Furaha ya timu zote premier league ni nyie mtoke top 6 na mtoke europaKwaiyo furaha yenu sisi tutoke top 4
Ndugu zako Brighton ushawatoa saizi maana unawasifia kila siku.Toka ligi inaanza mm niliweka wazi tutagombea ubingwa na vigezo niliweka
Top 4 yangu
Arsenal
Mancity
Newcastle
Astonvilla
Kwa hiyo unasema hawa nyumbu Ile picha tembo mtini inawahusu wao?Hamstahili Kubaki top 4
Angalia mpira wenu ,hata magoli yenu ,GD fananisha na hawa top 10
Mpo nafas msiyostahili kuwepo