Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kikosi hiki hiki kinawatoa hawa Sporting.

Hao akina Partey, Saka, Trossard na Ødegaard labda awaingize wakapashe tu, lakini still hii mechi ni ya akina Jorginho, Fabio na Nelson.

Baadae akiingia KT itapendeza zaidi.
 
Kikosi hiki hiki kinawatoa hawa Sporting.

Hao akina Partey, Saka, Trossard na Ødegaard labda awaingize wakapashe tu, lakini still hii mechi ni ya akina Jorginho, Fabio na Nelson.

Baadae akiingia KT itapendeza zaidi.
Xhaka na Vieira wana njano nilazima ampunguze mmoja tukipungua hii mechi itakua ngumu zaidi kwakua watu wanakimbia sana ukimgusa mtu tu unakula umeme
 
Kikosi hiki hiki kinawatoa hawa Sporting.

Hao akina Partey, Saka, Trossard na Ødegaard labda awaingize wakapashe tu, lakini still hii mechi ni ya akina Jorginho, Fabio na Nelson.

Baadae akiingia KT itapendeza zaidi.
Not true labda huangalii game bro hali ni mbaya kama tunataka kwenda quarter finals hawa watu kwa sasa wana umuhimu tatizo defenders wetu wawili wameumia zimebaki nafasi 3 pekee so mmoja kati ya hao hatacheza
 
Not true labda huangalii game bro hali ni mbaya kama tunataka kwenda quarter finals hawa watu kwa sasa wana umuhimu tatizo defenders wetu wawili wameumia zimebaki nafasi 3 pekee so mmoja kati ya hao hatacheza
Sijui why Arteta alimtoa Jesus na kuacha kina Vieira hapo mid
 
Kweli sporting ndio wakutusumbua namna hii?kina Bayern itakuwaje sasa?
Bora wewe umeona, umepoteza beki wawili na hatujui hali ya Jesus.😀😂😅😂😂😂😂😂😅😂😂😅😂😂😂😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🥹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…