Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ben White has gone home from Qatar for personal reasons and isn’t expected to return to the squad for the rest of the tournament.

(@JacobSteinberg )
 
Hata mimi ningerudi wanacheza watu wasiojua mpira
wengine kwenye klabu zao hawapati nafasi ila kocha anawapanga tu
Umeona statement ya England
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿?na Arsenal wamesema wapo pamoja na Ben nahisi kuna jambo serious sana neno RESPECT THE PRIVACY sio la kitoto na alikuwa anaumwa juzi hapa so tutajua mbeleni nini kinaendelea na ishu sio kama ulivyosema
 
Tumepangwa kucheza ugenini na Oxford United ya league one (Uingereza) kwenye mchezo wa raundi ya 3 ya FA Cup utakao pigwa wiki ya January 7 mwakani.
BORA MUWAZE MAKOMBE HAYO YA FA, HUKU WC HAMNA CHENU.
 
| Ronaldo on Gabriel Jesus:

“Gabriel today is one of the best strikers in the world and much more mature than in 2018. The goal will come out naturally and this concern should not cross your mind. All he has to do is get on the field and do what he knows.” [@geglobo] #afc
 
Gabriel Martinelli amewavutia wengi katika mazoezi ya Brazili kwa ufanisi wa hali ya juu kwa mabao na pasi za mabao.

Mshambulizi huyo wa Arsenal sasa amethibitishwa kucheza mechi yake ya kwanza ya Kombe la Dunia dhidi ya Cameroon (@simpraisa )
 
Outfield minutes played so far this WC* by the Premier League big 6:

Manchester City: 2327
Manchester United: 1790
Tottenham: 1624
Chelsea: 1489
Liverpool: 771
Arsenal: 612

Looking good for Arsenal and Liverpool at the moment.

*Not including stoppage time.
 
Kocha wa Brazil Tite anauona ubora wa timu yake kwa kusema ana Martinelli ambaye anaichezea Arsenal kama mfano.

Anasema hakuna mtu katika timu yao mwenye namba ya kudumu au mbadala.

(@simpraisa)



“You take Fabinho, is he a Liverpool starter, Ederson? A City starter. Gabriel Jesus, Martinelli, an Arsenal starter. I have 26 great players.” [via @simpraisa]
 
Vipi Ben White amesharipoti kwenye kambi ya Arsenyani?
Naskia ameondoka kwa hasira Qatar baada ya kuona muda wote anakalia mbao ngumu za bench huku Le Captain Maguire kila mechi yupo uwanjani.
 
Vipi Ben White amesharipoti kwenye kambi ya Arsenyani?
Naskia ameondoka kwa hasira Qatar baada ya kuona muda wote anakalia mbao ngumu za bench huku Le Captain Maguire kila mechi yupo uwanjani.
Hata Mimi ningeondoka , timu inaendeshwa kijanja janja Sana ile

Kaona asepe zake ,wanasema personal issue ,na hategemei kurudi ,hiyo Ni mbinu ya kusepa sehemu unapoona huna furaha

Mechi zote za makundi zimeisha hakuna dalili za kucheza , huko mbeleni asingepewa nafasi hata dk 1,

Amenikumbusha nilikuwa jeshi nikaona sielewi na Sina furaha, nikasema Nina personal issue za kifamily ,nikasepa na sikutarajia kurudi Tena.

Timu za taifa Makocha Wana watu wao huwa wapo tu ,
 
Cheupe roho imemuuma kuona anapata namba ya kudumu mazoezini tu.
Ila tuache utani wachezaji wa Man united wameing'arisha sana world cup ya mwaka huu.
 

Inasemekana waharabu wamefukuza hii chakula, kisa inafanyiwa kitu dini hairuhusu. Inchi ya kiislam ile.
 
THIS MUDRYK and ZINCHENKO's Wife Interview (subtitle)

MUDRYK : I'm already watching them on their Youtube Channel (Arsenal)

VLADA ZINCHENKO : Seriously?

MUDRYK : Yea almost like that You are already looking and you have only one team in your head (ARSENAL)

VLADA ZINCHENKO : You are already thinking and Focusing ( on Arsenal ).
.
MUDRYK : Yes I can't wait to start working together
.
VLADA ZINCHENKO : Will you be very upset if you if transfer doesn't take place in Winter.
.
MUDRYK : Yes
.
VLADA ZINCHENKO : :I hope to have an interview on a slightly different
.
VLADA ZINCHENKO : And I hope we meet again
.
MUDRYK : As a GUNNER
.
VLADA ZINCHENKO : Come on GUNNERS
 
Xhaka vs Serbia
Partey (Ghana) vs Suarez
Gabriel Jesus and Gabriel Martinelli vs Cameroon.

All to come tomorrow.

This is going to be unreal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…