Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenyeto arsenyonyo Muda wenu wa kunenepa huu mwezi wa 3 arsenyeto wote mtakua kama penseli
 
Kwa mujibu wa @jorgenicola mwandishi kutoka Brazil

Anasema mawakala wa Danilo wamemfahamisha kuwa Arsenal inakusudia kuweka dau la kumnunua mchezaji huyo baada ya hatua ya makundi ya kombe la dunia kukamilika.

Jorge Nicola amekuwa chanzo cha kuaminika kuhusu habari za Arsenal na Wabrazil katika miaka iliyopita. Ndiye mwandishi wa kwanza kuripoti habari za Arsenal kuwataka Martinelli, Willian na Gabriel Jesus.
 
Wachezaji w arsenal wana nux wakiwepo kwnye kikosi hakishindi, uwepo wa saka umesababsha england isishinde. Nawashaur makocha wawaanzishe benchi kama alivyofanya kocha wa brazil.
 
Wachezaji w arsenal wana nux wakiwepo kwnye kikosi hakishindi, uwepo wa saka umesababsha england isishinde. Nawashaur makocha wawaanzishe benchi kama alivyofanya kocha wa brazil.
sasa itakuaje? Mbona kwenye ile game waliyomshindilia Iran goli 6 Saka alianza na akapiga goli 2
 
NYIE MAZUZU...NIKO NAANGALIA HAPA MECHI LIVE NAMUONA varane NA erickson. HIVI WALE WACHEZAJI WENU MLISEMA WALIENDA WORLD CUP MBONA HATUWAONI??
AU WALIENDA WELDI KAPU?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…