Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona jukwaa lenu limechangamka kweli kweli, kumbe ule utoro ulikuwa kwa sababu ya kufungwa mimi nikadhani watu mna majukumu mengine
Kesho mko na majogoo wa Liverpool, nitawahi hapa wekeni seat za kutosha wageni watakuwa wengi
 
The form will win.
 
Arsenal msimu huu mmeanza vizuri sana na mpo on form. Ila ku-battle na City kwenye ubingwa wa EPL ni ngumu sana.

City ndiyo hivyo gari lishawaka hapo anaweza kutembea mechi 10 anashinda tu kitu ambacho Arsenal hamtaweza kufanya.
Nasisi gari letu tushawaka..tutamsumbua city mpaka kieleweke
 
Leo Liverpool akitufunga Emirates pale utakua muujiza mwingine katika soka,.

Mechi mbili za mwisho kukutana na Liverpool mbona mmefungwa hapo emirates.na mlikuwa kwenye form hivyo hivyo.kule kwenye kubet wamewapa points sawa na Liverpool inaonekana hata nyinyi kufungwa inawezekana na wala sio kitu cha ajabu,kama mngekuwa na uhakika mgepewa points 1.12 kama city vile yaaani uhakika.

Hata Man U kuwafunga utasema muujiza tena?

Endeleeni kupiga kelele tu Liverpool wako kimya.
Wataongea baada ya mechi mtakimbia hili jukwaa Leo ,maana kila timu Leo iko upande wa Liverpool .

Tusiongee sana sisi Mashabiki wa Liverpool tunasubiria matokeo hapo baadae ndio tuongee.
 
mechi ya leo dhidi ya liverpool ni kipimo kizuri cha utimamu wa akili kwa wachezaji wa arsenal ;matokeo ya mechi yata base apo ukiachilia mbali form walizo nazo timu zote mbili..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…