Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tulieni arsenyeto mchakatwee...wenye kombe tumerudi on top
 
Will Jr
Mpira unaosema ku hold, kupunguza pressure. Ndio anaucheza elneny lakini ushambuliaji kumepoa sana

Leo hatuna pressure
Tumewadhibit vizuri

Lakini attacking force ni ndogo sana,

Leo tupambane tupate hizo point 3
 
Will Jr
Mpira unaosema ku hold, kupunguza pressure. Ndio anaucheza elneny lakini ushambuliaji kumepoa sana

Leo hatuna pressure
Tumewadhibit vizuri

Lakini attacking force ni ndogo sana,

Leo tupambane tupate hizo point 3
Yaani kama tungekuwa tumeshida Elneny alikuwa nafaaa sana
 
Hivi huyu Jesus aka (Yesu) mbona kama anacheza pembeni zaidi Leo au mi sijaelewa naona kosakosa nyingi tuu
 
Tuwe wakweli.

Siyo kwamba Partey anahitajika? A guy ambaye Will anaamini ana low iq?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…