Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie ma arse8 na nyie munataka ubingwa? Mechi Tatu za mwanzo mlizoshinda zinawapa kiburi ee..

Eti na nyie saiv munajiita mabingwa watarajiwa. ..dah haya maisha haya..
 
Nyie ma arse8 na nyie munataka ubingwa? Mechi Tatu za mwanzo mlizoshinda zinawapa kiburi ee..

Eti na nyie saiv munajiita mabingwa watarajiwa. ..dah haya maisha haya..

Tulia dogo, nasikia mnamtaka Aubameyang, timu haijengwi na wachezaji ambao wanajivunia their past glories. Angalia kinachomtesa Man United. ETH anatakiwa kufanya maamuzi aliyoyafanya Arteta kwa Laca na Auba
 
❗️🥇Arsenal could be priced out of a move for Pedro Neto. [standard]
 
Negotiations ongoing between OGC Nice and Arsenal for Nicolas Pépé - been told buy option currently not included, could be simple loan until June 2023 but all parties in talks, it’s still open.
#AFC

Optimism also on clubs side, but Pépé’s salary is being discussed. https://t.co/EYXFBEIV1c
 
Tulia dogo, nasikia mnamtaka Aubameyang, timu haijengwi na wachezaji ambao wanajivunia their past glories. Angalia kinachomtesa Man United. ETH anatakiwa kufanya maamuzi aliyoyafanya Arteta kwa Laca na Auba
100%
 
Inatarajiwa kwamba Leicester itapunguza bei kwa Tielemans kufanya uhamisho uwezekane. Arsenal wanavutiwa zaidi. Mchezaji ni mtulivu kwani anajua yuko kwenye nafasi nzuri ya kuhama

(@nieuwsbladsport )- Reliable
Tusipo angalia huyu dogo tuna mkosa, utashangaa katua Anfield pale, maana wale jamaa wamefilisika viungo na dirisha ndo hivi linaishia ishia wanaweza chachuka wakambeba kwa gharama yoyote tukamkosa

Chelewa chelewa utamkuta mwana si wako
 
Tusipo angalia huyu dogo tuna mkosa, utashangaa katua Anfield pale, maana wale jamaa wamefilisika viungo na dirisha ndo hivi linaishia ishia wanaweza chachuka wakambeba kwa gharama yoyote tukamkosa

Chelewa chelewa utamkuta mwana si wako
Liverpool Hana pesa
 
According to @FabrizioRomano,

“Neto is seen as the perfect player for Arsenal by Mikel Arteta & Edu”

Arsenal love Diaby, but he isn’t a priority.

There are ongoing contacts with Pedro Neto’s camp, who is tempted to join the club, but finding an agreement is not easy.

#afc
 
Arsenal wanasema wanafuata sheria za FFP na wanasisitiza kwamba akaunti zao zinazofuata (ambazo Uefa hawajaona) pia zitatii.

Arsenal haijapokea mawasiliano yoyote kutoka UEFA kuhusiana na wasiwasi wowote kuhusu kanuni za FFP.

(@SamJDean - reliable)
 
Tusipo angalia huyu dogo tuna mkosa, utashangaa katua Anfield pale, maana wale jamaa wamefilisika viungo na dirisha ndo hivi linaishia ishia wanaweza chachuka wakambeba kwa gharama yoyote tukamkosa

Chelewa chelewa utamkuta mwana si wako
Tabia za KiWenger bado zipo.
 
Newcastle hajanunua wachezaji wengi?

Unaiongeleaje FFP rule na kinachoendelea Barcelona na usajili?
 
Newcastle hajununua wachezaji wengi msimu huu. Kumbuka alianza kununua msimu uliopita sio wote wameingia mwaka huu. Barcelona ni klabu kubwa ana mercandise za kutosha na viingilio vingi(fanbase kubwa). Wachezaji wengine aliowanunua hajawaingiza rasmi kwenye timu mpaka auze.
Moja ya sheria za FFP ni kuhusu madeni: inatakiwa timu isiwe na madeni mengi yaliyopitiliza muda wa kulipika(overdue payables).
Kuna tofauti kati ya losses zinazoonekana kwenye profit and loss account, na kuwa na madeni yanayopitiliza muda wa kulipika (overdue payables), Wahasibu watanielewa. Unaweza kuwa na amortisation na impairment losses kubwa za wachezaji mwaka huu ukasababishia timu kuwa na losses kwenye P&L; pasipokuwa na overdue payables.
All in all swala la breaking even point linasisitizwa.
Tutaeleweshana taratibu mutaelewa haya mambo ya kiuhasibu.
Tuchukulie mchezaji wetu Pepe kama mfano. Alinunuliwa usd 72m kwa mkataba wa miaka nadhani 4 (not sure); amortisation yake kila mwaka ni usd 18m. Lakini hapa kati kiwango chake kimeshuka sana, kwa hiyo klabu kutakiwa ku- declare impairment loss maybe $15m mwaka wa tatu. Kwa hiyo $33m zitapunguzwa kwenye P&L account.mwaka huo wa tatu in respect of Pepe. Hii ni kwa mchezaji mmoja kwenye timu; na sheria za FFP zinataka kwa kila capitalised player ionyeshwe analysed details kila mwisho wa fy (player identification table)Eg:
alinunuliwa bei gani, ana mkataba wa miaka mingapi, jina lake na tarehe ya kuzaliwa, amortisation brought forward at the end of accounting period, amortisation during the period,impairment cost during the period, disposals (cost and accumulated amortisation) pamoja kuonyesha netbook value (carrying amount); na kwa mchezaji aliyeuzwa ionyeshwe profit/loss
 
Asante sana mkuu. Hapa naona nimepata elimu nzuri hapa jukwaani for a change.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…