Hii ishakua kamari, inaweza ikala upande wetu piaHuu mchezo Arsenal wanaomchezea Leicester juu ya Tielemans, watajua hawajui.
Arsenal wanazidi ku buy time tu!
Arsenal wameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa hawana haraka na Tielemans, wako tayari kumsubiri mpaka mwakani 2023 mkataba wake utakapoisha.
Hawatoamini, watakuja kumtoa siku ya deadline kwa ada ya chini ya £20mil..
Tuendelee kuiskilizia hii show mpaka mwisho.
huyu mbona hakucheza game ya juzi shida nnHii ishakua kamari, inaweza ikala upande wetu pia
Aaanh, lakini nimekumbuka
Kuna huyu Vieira T-bag, muhuni anajua kuyaona mashimo kama odegard
Kuna siku nilikua namuangalia mara kumi kumi
Nikagundua yule mtoto hafai, ni killer.
Bonge moja la creativity midfielder
Fitnesshuyu mbona hakucheza game ya juzi shida nn
Bonge ya mechi ila ninaombea watoke sare tu wapinzani wetu wa London itapendeza sana.Kumbe weekend ni chelsea vs Spurs?sare itakuwa vizuri sana ila apigwe yeyote fresh tu.
Apigwe chelseaKumbe weekend ni chelsea vs Spurs?sare itakuwa vizuri sana ila apigwe yeyote fresh tu.
Hahhhhh T-Bag wa prison break auFitness
Muda sio mrefu utashuhudia balaa la huyo muhuni T-bag
Na vipi kuhusu nyie arseng'ong'oBonge ya mechi ila ninaombea watoke sare tu wapinzani wetu wa London itapendeza sana.
Apigwe Spurs hao Chelsea hawana mbio, hata wakitangulia tutawakamata tu.Kumbe weekend ni chelsea vs Spurs?sare itakuwa vizuri sana ila apigwe yeyote fresh tu.
Nyie arsenal nani kawaroga.Apigwe Spurs hao Chelsea hawana mbio, hata wakitangulia tutawakamata tu.
Anaweza kubebwa pia na team nyngne cyo kwamba sisi tu ndo tunamtakaHuu mchezo Arsenal wanaomchezea Leicester juu ya Tielemans, watajua hawajui.
Arsenal wanazidi ku buy time tu!
Arsenal wameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa hawana haraka na Tielemans, wako tayari kumsubiri mpaka mwakani 2023 mkataba wake utakapoisha.
Hawatoamini, watakuja kumtoa siku ya deadline kwa ada ya chini ya £20mil..
Tuendelee kuiskilizia hii show mpaka mwisho.
Spurs Hana hizzo mbio, Spurs kaanza na timu dhaifu,, Safari hii soton anashuka darajaSpurs ana balaa msimu huu, wanaweza wakatu surprise kwa kubeba ndoo, wana timu iliyo kamilika kila idara na kocha mwenye mbinu,
Msimu huu wa moto sana
kwangu mimi nasema ni mapema sana kusema spurs atachukua ligi,ila tukubali kwa mara ya kwanza toka nimeanza kumfahanu totenham naona mwaka huu wanakikosi cha ushindani wa hali ya juu mno.Spurs Hana hizzo mbio, Spurs kaanza na timu dhaifu,, Safari hii soton anashuka daraja
Subiri mech 5 Kwanza uone Spurs ana huo ubavu , mpira wake Ni wakuvizia Sana, sio timu ya kutawala game ,
Wanakutana na Chelsea ambaye anacheza Sana ila hafungi,
Hiyo game Chelsea ana asilimia kubwa akatawa mchezo akapigwa ,sababu Spurs Ni mviziaji tu.
Mm naomba droo au Spurs achezee kipigo , Chelsea bila forward pumzi itakata mapema sana