hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,261
- 26,648
Wanachezea za uso, Chelsea haji kuwasahau barcaIngawa wapo UEFA lakini wanapata wakati mgumu sana kwenye sajili
Hapa namzungumzia chelshit
Dakika za mwisho walitaka kupita na Jesus lakin walishindwa
Barca bado anampiga za uso, tena barca anachukua kwa dau nafuu kuliko analoweka yeye
Chelshit n spurs iliyochangamka
London is red![]()


]