Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Hata mimi naamini ushindi upo...ninawaamini the gunners... ili angalau wanifurahishe kwa kuwa nimekuwa upande wao...πŸ™‚
 
Huyu wa ngapi?
Kloro kumbe na wewe ni mshabiki wa mpira?? dah, Hebu tabiri score line?
mkuu wewe ukipangiwa na ze goonerz kuanzia februari onward basi una asilimia 80 ya kuondoka na tatu mkobani au at least moja. acha wes brom wakusibitishie hili leo
 
Nasikia Peasant wameanza kuruka ruka kwa matumaini ... .... .... ....
 
Siri yangu hiyo....sasa sijui utanirudisha nikija na usichokipenda??!!!!


Mhhhhh! haya kama ukivaa baibui na kuacha macho tu basi naweza wala nisikushtukie kama yule pale ni KH. Sitakwazika lakini ukiona sijakutambua nishtue πŸ™‚
 
Tumeshabandikwa jingine uzembe wa golikipa kama la kwanza πŸ™
 
Almunia .... .... .... angekaa bench bora Lehman angeanza kazi kweli kweli ..... ... 2 goals down .... ... shambolic defending ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…