Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya kidude cha pili hicho.
Mdogo mdogo mpaka mtiwe bao 4 leo nyau nyie.
 
Siangalii mechi nilifikiri game uhakika naifuatilia livescore.

Mbona ni komedi hii
 
I wrote yesterday tuendelee kukumbushana na waropokaji ila hali halisi inafahamika tuendelee kuenjoy game uwanja mgumu sana huu
 
Tupunguzage makelele humu Arsenal yetu inafahamikaga that's it kuna fans muda wote wanaropoka utafikiri Arsenal wameijua Jana if leo tukafungwa unategemea ukashinde kwa Big teams harufu ya damu inanukia kwetu oh God
time will tell not one mtch
 
I wrote yesterday tuendelee kukumbushana na waropokaji ila hali halisi inafahamika tuendelee kuenjoy game uwanja mgumu sana huu
Hawataki kuambiwa ukweli hawa.
Sasa hivi wataanza kukuporomoshea matusi, kukudhihaki na kukutukana.
Wanapenda kuambiwa maneno matamu matamu tu.
Ukitaka wasikuone msaliti we jitoe ufahamu kama wao ndio utaenda nao sawa.
Nakuonea huruma sana computerarsenal kuwa na mapenzi na hii timu.
 
Honestly, this way of playing, top 4 could be elesive, pass zinapotea, kiungo wamepotea, pathetic
 
Acha tu Mkurugenzi madhaifu yetu yanaonekana kwa macho kabisa bila kupepesa macho Tierney hayupo Pepe hayupo kabakia Martinelli na Leno pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…