Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Tuna wenzetu wengi humu hawajui mpira.Wewe umekariri kila red card inapotoka ni mchezaji ndio mwenye kosa, red card zingine ni kwamba referee anataka kufix match, Nimeona kwa mwandishi mmoja kwamba Arteta anataka kuongea na FA kuhusu decision za hii mechi.
Swali ni kwamba, How can you get two yellows for the same sequence of play?View attachment 2115463
Tena alipokuja na baadhi ya mambo ambayo mimi najua ndio nguzo ya mafanikio kwenye field yoyote ile hapa duniani (management) ndio nikazidi kumkubali na kwa sasa huniambii kitu.Nakupinga katika hii observation yako kwamba akili ya Arteta ni ulinzi mtupu.
Arteta ndiye kamtrain Sterling na Sane kwenye role zao kama wings.
Arteta kamtoa Pepe RW na kumuweka LW ambapo alionyesha improvement kabla ya kujipatia red ya kijinga.
Arteta pia ndiye kaonyesha dira anataka timu ipate matokeo kwa mtindo gani na usajili wa watu kama Ode, Ben White, Ramsdale na Tavares umebase katika kusaidia ushambualiaji zaidi.
This means hashambulii kwakua hana wachezaji anaowataka ila so far Arteta ni mzuri kuzidi makocha aliowahi kufananishwa nao Ole na Lampard. Bila resources za maana ameweza kutransform timu.
Bila resources za maana ametransform defense iliyowahi semwa haifundishiki.
Kuna siku nilikuambia kinachombakisha Arteta ni takwimu za timu as a whole so mzoee tu. Relief Mirzska hakumkubali jamaa ila over time amemzoea.
Ukizingatia pia game hii itapigwa EmiratesWana finisher mzuri Toney na wana Mbuemo anayejua kukimbizana na defense.
Sisi tukaenda kumiliki mpira wao wakaja kutafuta magoli.
Anyway, nafikiri Wolves yupo kwenye form kipindi hichi kuliko Brentford so naona tuna matumaini.
Tunajipgia hapo na uhakika kbsaNext game ni Brentford, kumbuka hawa walitupiga tatu takatifu day one
Walitufunga Mbili mkuu, tulikosa wachezaji muhimu watano kwa Corona, goli zote zilikuwa na Controversy, subiri uone show tutayowapa next match.Next game ni Brentford, kumbuka hawa walitupiga tatu takatifu day one
Nasikia kuna £180m next window, najiona tayari kama title challengerNi kama ambavyo wanamsema Arteta all over.
Arteta is doing some wonders and I can see us finishing in top four.
150 ya last window imeishia wapi!? Tumeokota dagaa tu na team bado inatesekaNasikia kuna £180m next window, najiona tayari kama title challenger
Haikunishangaza maana nimeona ni dalili ya kuwa Arsenal fan, huwezi kufuatilia team 10 years consecutive games kama sio supporter wa timu husika.Neves alichoamua kusema akiseme ila kuna tofauti ya matarajio ukiwa wolves na ukiwa Arsenal. Ukiwa Arsenal kila point tatu zina kazi ya kutufanikishia mission. Mission ya Arsenal ni top four.
Ningependa kumsikia pia baada ya mechi na norwich
Timu inateseka! Duh kweli hypernegativity haiwezi kuisha kwa mafans wa hii club. Lakini sio mbaya tutaelewana tu cha msingi Mikel Arteta tunaye.150 ya last window imeishia wapi!? Tumeokota dagaa tu na team bado inateseka
For real bro but I think we will win it kwenye season ya 2023/2024Nasikia kuna £180m next window, najiona tayari kama title challenger
You can't be serious mkuu.150 ya last window imeishia wapi!? Tumeokota dagaa tu na team bado inateseka
Kwa kweliHaikunishangaza maana nimeona ni dalili ya kuwa Arsenal fan, huwezi kufuatilia team 10 years consecutive games kama sio supporter wa timu husika.
Wenzetu are so negative aiseeee duh!Timu inateseka! Duh kweli hypernegativity haiwezi kuisha kwa mafans wa hii club. Lakini sio mbaya tutaelewana tu cha msingi Mikel Arteta tunaye.
Agiza pepsi hapo nakuja kulipaYou can't be serious mkuu.
Tumeokota dagaa kwa Odergard?? Kwa Ramsdale?? Kwa Ben white???
Tell me you were joking, or rather you just have so much hatred for Arteta.
Kamuangalie Maguire huko wa 80M, Ramsdale ni kipa wa 70M au kuzidi maana ndio watu walilipa kwa kepa. Ordergard ni namba 10 ambae will cost you not less than 40M kwa dunia ya sasa. Tavares ni back up ya kuaminika kabisa mkuu.
Tuko sawa sawa Mkuu kwa sehemu karibia zote ila hapo Kwa Tavares hapana, hakuna backup ya uhakika pale, inabidi akaze buti sana ili kutuaminisha Kwamba yeye ni backup ya maanaYou can't be serious mkuu.
Tumeokota dagaa kwa Odergard?? Kwa Ramsdale?? Kwa Ben white???
Tell me you were joking, or rather you just have so much hatred for Arteta.
Kamuangalie Maguire huko wa 80M, Ramsdale ni kipa wa 70M au kuzidi maana ndio watu walilipa kwa kepa. Ordergard ni namba 10 ambae will cost you not less than 40M kwa dunia ya sasa. Tavares ni back up ya kuaminika kabisa mkuu.
Mpira wa Leo ni kweli unahitaji pesa must-win titles. Lakini tulichojifunza in the past 7-8 years ni kwamba it's not only about money.Wakati tunamchukua Ben white na Aaron Ramsadale,Arsenal haters walitushambulia kwa kutuambia kua hatupo serious na trophies.
mashabiki wa utd walienda mbali sana wakasema Ben white haiingii hata theluthi kwa Rafael Varane na kudai kua tumepigwa hela ndefu.
Mwishowe leo wote tunaona kazi ambayo White anapiga huku akilipwa £120k tu kwa week.Huku wao Varane akikunja £340k kwa mpira usioonekana.
Kwa ramsadale pia maneno yalikua mengi sana.
Mpira wa Leo ni kweli unahitaji pesa must-win titles. Lakini tulichojifunza in the past 7-8 years ni kwamba it's not only about money.
Sometimes it's about having a right coach/manager.
It's about mentality.
Mifano ni mengi
Hahahaahahahah!Never underrate the strength of ducats