This is Arteta's Arsenal, hata wachezaji taratibu wanaAdapt mentality ya kocha wao.Kwa kuwa ni Martinelli ndio kapata ile red maneno hayatakuwa mengi. Angepata Xhaka aiseeeee kesho ingekuwa mwisho wa dunia.
I am proud of this team aiseeeee
Wewe umekariri kila red card inapotoka ni mchezaji ndio mwenye kosa, red card zingine ni kwamba referee anataka kufix match, Nimeona kwa mwandishi mmoja kwamba Arteta anataka kuongea na FA kuhusu decision za hii mechi.Stop condoning bad behaviour, ni aibu wachezaji kupewa red (2022) kila tunapocheza. Kocha lazima aondoe tabia ya timu kuonekana kama ya kihuni.
Angalau kuna improvement kwenye defence, taratibu atatengeneza striking force nzuri. Kumbuka tulikuwa chaka la kupigwa nyingi.Akili ya Arteta ni ulinzi tu, going forward is his weakness. We are not playing fluidity footabl bcoz of defending mentality, he invest to much time on defence art than attacking. No wonder he doesn't know how to Use Pepe or a case of Ozil before his departure.
Generally if we need to emerge from our midcrority Arteta is not tje man to do that. And serious investment is needed to do so. Our midfield is a weak link, our attach has no shape and soon we will have no snr CF to depend on banging those goals.
And all the happens and the board looks happy with it. And if we don't acct soon the counting will go on and become 30yrs without EPL
Hongera sana mkuu. Of course nitashauri kuwa mtoto akiuliza jina lake limetoka wapi mwambie limetokana na yule malaika ambaye pia kuna mchezaji umempendaye ambaye amepewa jina hilo 😀😀😀beki wangu huyu, namkubali sana ,mwanangu wa kiume mwez wa 7, nimepanga kumuita GABRIEL
Naona kama ligi ina makipa watatu hivi wa maana. Wakwanza ni De Gea. Aisee bila yule jamaa Man Utd wangepotea sana. Wapili ni Lloris. Watatu ni Ramsdale.Aaron Ramsdale is milking clean sheets this season. "Relegation goalkeeper" they said. Hahahaha
Naona kama ligi ina makipa watatu hivi wa maana. Wakwanza ni De Gea. Aisee bila yule jamaa Man Utd wangepotea sana. Wapili ni Lloris. Watatu ni Ramsdale.
Martinez namkubali kinoma piaKuna Nick Pope, Emmi Martinez nawakubali sana
Nakupinga katika hii observation yako kwamba akili ya Arteta ni ulinzi mtupu.Akili ya Arteta ni ulinzi tu, going forward is his weakness. We are not playing fluidity footabl bcoz of defending mentality, he invest to much time on defence art than attacking. No wonder he doesn't know how to Use Pepe or a case of Ozil before his departure.
Generally if we need to emerge from our midcrority Arteta is not tje man to do that. And serious investment is needed to do so. Our midfield is a weak link, our attach has no shape and soon we will have no snr CF to depend on banging those goals.
And all the happens and the board looks happy with it. And if we don't acct soon the counting will go on and become 30yrs without EPL
Wana finisher mzuri Toney na wana Mbuemo anayejua kukimbizana na defense.Next game ni Brentford, kumbuka hawa walitupiga tatu takatifu day one
Unaangalia games za Villa?Kuna Nick Pope, Emmi Martinez nawakubali sana
Kabla ya mechi ya jana kipa wa Wolves save 68 Ramsdale 56.Naona kama ligi ina makipa watatu hivi wa maana. Wakwanza ni De Gea. Aisee bila yule jamaa Man Utd wangepotea sana. Wapili ni Lloris. Watatu ni Ramsdale.
I don't agree. It's not healthy at all to start comparing coaches based on games.We’d have lost that game under Unai Emery.
Ambalo I can see all the signs that tutalifikia.Dah! wanafamilia, pointi tatu chungu za muhimu...lengo letu msimu huu kumaliza nne za juu, bado lipo pale pale..#COYG
Spot on ManI don't agree. It's not healthy at all to start comparing coaches based on games.
Emery won some matches that Arteta would lose
Ni kama ambavyo wanamsema Arteta all over.Aaron Ramsdale is milking clean sheets this season. "Relegation goalkeeper" they said. Hahahaha
Nasubiria pia siku utakayomuomba msamaha Arteta kwa dhambi hiyo hiyo hahahaahahha.Daah mwamba nilimfuta na religation curse yake.
Nilishamwimba Msamaha kwa dhambi ya kumhukumu.
Na hadi sasa ni mchezaji pekee anayecheza with passion ya kuitumikia team. Wengine wote ni kama waajiliwa tu, matokeo kwao sio kitu kina homuumiza, bali wanafanyakazi wapate mshahara