Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kama haya maelezo ni kweli madrid wasingemuachia hata kwa bahati mbaya.
 
kama haya maelezo ni kweli madrid wasingemuachia hata kwa bahati mbaya.
nakupa homework kafatilie mgogoro wa zidane unaotaka kumuondoa mwisho wa msimu, perez amewekeza kwa vijana wenye vipaji , na wengi amewatoa loans, jiulize odegaard amefikajea madrid,
 
.
@charles_watts

on Smith Rowe's fitness: "#Arsenal are trying to make sure that the new workload that he is suddenly getting, & the game time, didn’t do too much [damage] on his body & they’re trying to manage him through that. I still think he should be alright for the weekend"


 
Spurs kacheza 3 ,4 3 dhidi ya liva kapasuka.

Tangu mourinho afike spurs anatumia 4 2 3 1, formation ambayo juzi tu imempa ushindi ole, spurs haina beki. Walijaribu kufanya aggressive highline pressing shida ikawa kwa wing backs zao.

Krosi kwenda kwa mane na salah zinamiminika tu. Sideway passes zinamiminika tu na kibaya zaidi wakawa wanaiga mchezo wa speed wa liva na gegenpress.

Unaona spurs wanaacha mipira nyuma ghafla son anapanda kufuata mipira mbele hakupitiki.

Goli la firmino na la mane linaweza kumuweka benchi mtu. Yaani wale ni mustafi au luiz kabisa.

Ila AM wao Ndombele yuko vizuri. Arsenal tunahitaji AM kama yule, skills, runs, fighting spirit, anarelax akiwa na mpira, anajua 1 2 yaani yuko poa.

Anyway, the whole team was in shambles.
 
Emirate(geto) msisahau kuja na mafuta
 
Huyu rais aliyetoka wa barcelona kwa dini alilowaacha nalo barcelona hii timu inaweza ikawa nyang'anyang'a mpaka kuja kufufuka.

Wakina Dest waliamua kwenda pale kwakua waliona ni mahali sahihi ila wanaweza kujuta.
 
Sawa sawa mchambuzi
 
Hatuna reason ya kupoteza mechi ya kesho,iwe mvua iwe jua,we have to disappear with victory.

Apart from good performance which we have,pia tuna team nzuri kuwazidi nyumbu.

Kama ningekua MA kesho ningetumia 3-4-3 because ni ngumu kwa opponent kupata goli against us and this would be my XI of tommorow;-

Leno
Cedric
Gabriel
Holding
KT
Xhaka
Partey
ESR
Saka
Lacazzette
Aubameyang..







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…