Its Ht....Kwa mapenzi yangu kwa Arsenal ntasema kwamba tumewakosa sana katika hiki kipindi cha kwanza ila on other words ni kuwa these guys are good defensively esp. Kipa wao.... kawatoa sana....To tht faul on arshavin was a penalty ila ref ndo mwamuzi wa mwisho. So far we have a good play hasa katikati...kwenye finishing bado maruweruwe ya N'castle hayajatutoka........THIS IS A MUST WIN GAME.....