Wana kocha mzoefu na mtaalam na pia kikosi chao kizuri sana. Me huwa naiogopa sana timu yenye uwezo wa kupiga hizi timu ndogo pale EPL kuanzia goli 3 na kuendelea, hiyo si timu ya kubeza hata kidog
Wana kocha mzoefu na mtaalam na pia kikosi chao kizuri sana. Me huwa naiogopa sana timu yenye uwezo wa kupiga hizi timu ndogo pale EPL kuanzia goli 3 na kuendelea, hiyo si timu ya kubeza hata kidogo.
Kila nikikumbuka mechi ya Westham tulivyoshinda 2-1 watu wakawa wanatukana sababu ya kiwango kibovu na nikitazama matokeo ya Westham mechi zilizofuata baada ya kufungwa na Arsenal nabaki kucheka tu.