Nimpe nafasi mkuu gspain alidadavue hili kiufundi,Hivi karibuni 'mistakes' za Luiz zimepungua kwa kiasi kikubwa sana,Sasa wajuvi wa mambo hasa 'Technical' nilikua napenda mnijuze hasa ni kitu gani kili(na)chopelekea 'mistakes' zake nyingi kupungua,
Maana wengine wanasema kua Gabriel anamfichia makosa yake mengi,
Karibuni.
Akitoa boko tu mechi ijayo hachezi....tuna beki kama sita hivi zinaweza kucheza namba yake....Hivi karibuni 'mistakes' za Luiz zimepungua kwa kiasi kikubwa sana,Sasa wajuvi wa mambo hasa 'Technical' nilikua napenda mnijuze hasa ni kitu gani kili(na)chopelekea 'mistakes' zake nyingi kupungua,
Maana wengine wanasema kua Gabriel anamfichia makosa yake mengi,
Karibuni.
Dr Erkut Sogut:
“Mesut cannot speak now because of confidentiality, but one day he will, and we'll see what people think.” [espn] #afc
Nyie washika bunduki Kama hammtaki ozil semeni,vinjeni mkataba nae, achukue chake mapema, aende timu nyingine
Nyie ni wasalit, mnashindwa kumtetea mchezaji wenu kisa kuogopa China, China kitu gani, Kwan pesa na ubinadamu bora nini
Arsenal ni timu ya hovyo kweli kweli, weken msimamo, hao China ni mbwa tu
Hicho kitu nami nilikifikiria sanaMimi nahisi ni chuki binafsi tu, nahisi naweza kuiunganisha na kitu japo siwezi sema hapa. Msimu wa kusajili ukiisha, unafanya kazi na wale ulionao, unaachana na speculation zilizokuwepo.
Sasa hadi leo mtu yupo na Auour tu, wakati tayari tunaijenga timu vizuri. Hata hivyo wachezaji wengi(sio wote) wanaotokea ufaransa/league 1 wakija EPL wana flop tu.
Mkuu, hawa leeds ni kwikwiSijaangalia mechi ya Villa ,ila nasikia kuna goli ,Martinez kafanya uzembe ,
Aisee niliwaona na City, wanapeleka mashambuliz mwanzo mwishoMkuu, hawa leeds ni kwikwi
Hawa kina mings na konsa leo lazma walale viatuAisee niliwaona na City, wanapeleka mashambuliz mwanzo mwisho
Nimeshangaa juzi wamepigwa na wolves
Mkuu unamlinganisha Leno na Cech kwenye build up play? Mbona naona Leno yupo huru sana kutumia miguu yake kuliko alivyokuwa Cech! Hata pass accuracy ya Leno ipo juu zaidi ya Cech.Kama umeangalia mechi za Arsenal za karibuni utaona namaanisha nini hasa kwenye kubuild up kwa Leno,sio kila goalkeeper ana uwezo huo,Martinez alikuwa na uwezo huo(licha ndo ameshaondoka),solution ni kuwa awe makini na afocus wakati anafanya hvyo sababu ndo Maestro (Arteta)anataka hvyo ila Leno na Cech hawa hawana utofauti na muda wote roho juu juu wakiwa na mpira ila for my opinion ni heri awe anapiga pembeni kwa beki zake
Kila binadamu ana mapungufu hata sisi pia hakuna aliyekamilika ni kama Leno ambavyo hajakamilika kwenye eneo hilo la kubuild up but kwa kuchomoa michomo hatari ni balaa
Leno ana pass accuracy kubwa tu , makosa ni sehemu ya mchezo,Mkuu unamlinganisha Leno na Cech kwenye build up play? Mbona naona Leno yupo huru sana kutumia miguu yake kuliko alivyokuwa Cech! Hata pass accuracy ya Leno ipo juu zaidi ya Cech.
Sorry sikuwa online for a while dully JrHivi karibuni 'mistakes' za Luiz zimepungua kwa kiasi kikubwa sana,Sasa wajuvi wa mambo hasa 'Technical' nilikua napenda mnijuze hasa ni kitu gani kili(na)chopelekea 'mistakes' zake nyingi kupungua,
Maana wengine wanasema kua Gabriel anamfichia makosa yake mengi,
Karibuni.
Nimpe nafasi mkuu gspain alidadavue hili kiufundi,
Karibu,.....