Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Partey haendi Arsenal, Mark my words
Kwanza ana release clause, tena ndogo tu, halafu Arsenal wanaendekeza njaa wanataka discount
Nitakuja kufukua kaburiwakikusikia utajuta
wakikusikia utajuta
Hivi hii chapati imekimbilia wapi?Haya karibuni leo usiku by 10:00 AM litapigwa kabungu moja la mabingwa wa kihistoria na pia anayewawakilisha mashindano ya ulaya kwa sasa. Msikose kuja kuangalia pressing za hatari
Nimeipenda hii,From|| Reports suggest that Napoli are in advanced negotiations, for Sokratis [via - @TuttoSport].
Huyu Nikola Maksimovic hapana, ni vema tukakomaa na Gabriel, au bora tubaki na Shkodran,Kuna mazungumzo yamefikia pazuri ya Sokratis Papastathopoulos kwenda Napoli na Nikola Maksimovic anaweza kuelekea England/Arsenal.
Kostas Manolas anamshawishi mchezaji mwenzake wa kimataifa kwenda Naples.
Source: (@tuttosport)
Nimeona haelekei Arsenal anaenda EvertonHuyu Nikola Maksimovic hapana, ni vema tukakomaa na Gabriel, au bora tubaki na Shkodran,