Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We hujui yule alichukuliwa baada ya kusajili vipaji vibichi na vya hatari kama Memphis depay na angel dimaria
Wewe boya usitake kufila mada.. wewe unahoji usajili wa Willian, wee mbona ulimsajili Shwanstaiga? Weka jibu linaloeleweka sio kuruka ruka tu!

Haya unazungumzia wachezaji wabichi, mbona mimi tayari ninao vijana kama Pepé, KT, Bern Leno, Belle, n.k.

Halafu ni nani aliekwambia Di Maria alikuwa mbichi kipindi kile?
 
Wewe boya usitake kufila mada.. wewe unahoji usajili wa Willian, wee mbona ulimsajili Shwanstaiga? Weka jibu linaloeleweka sio kuruka ruka tu!

Haya unazungumzia wachezaji wabichi, mbona mimi tayari ninao vijana kama Pepé, KT, Bern Leno, Belle, n.k.

Halafu ni nani aliekwambia Di Maria alikuwa mbichi kipindi kile?
We jamaa bana unafurahisha sasa di maria wa kipindi kipindi kile unaweza kufananisha miaka yake na willian wa saivi
 
Huyu naye apuuzwe kama yule pimbi mwingine.

Wote tuignore kila atakachoandika kuhusu mpira. Kwenye majukwaa mengine ushkaji uendelee.
Dah! Kweli kabisa..

Maana huyu na yule mwenzie Gpili akili zao ni sawa sawa kabisa.

Hilo jina la manyumbu limewafaa sana. Maana wote ni mambumbumbu!!!
 
Huwezi kuwa mshabiki wa mpira halafu ukawa na mentality ya namna hii, wewe ndio unafaa kupuuzwa
Huyu naye apuuzwe kama yule pimbi mwingine.

Wote tuignore kila atakachoandika kuhusu mpira. Kwenye majukwaa mengine ushkaji uendelee.
 
Huwezi kuwa mshabiki wa mpira halafu ukawa na mentality ya namna hii, wewe ndio unafaa kupuuzwa
Ushabiki siyo kuandika spinning hata pale kwenye ukweli. Mfano hua unakosea majina ya wachezaji na baadhi ya records kisha mtu atakurekebisha utakuja na spinning mpya.

Pia nasikia we ni mwepesi kuita mods watu wakikunyweshwa dawa unayotumia kwa wengine.
 
Ushabiki siyo kuandika spinning hata pale kwenye ukweli. Mfano hua unakosea majina ya wachezaji na baadhi ya records kisha mtu atakurekebisha utakuja na spinning mpya.

Pia nasikia we ni mwepesi kuita mods watu wakikunyweshwa dawa unayotumia kwa wengine.
Mimi ni mwanamichezo napenda soka na siwezi kuita mods kwenye masuala ya soka ukiona ivyo basi either nawewe uliwahi kuniitia
 
Mimi ni mwanamichezo napenda soka na siwezi kuita mods kwenye masuala ya soka ukiona ivyo basi either nawewe uliwahi kuniitia
Hakuna aliyekataa kama wewe ni mwanamichezo, maana michezo ipo mingi sana, rede, kibaokata, mpira wa pete n.k yote ni michezo hiyo

Pia hakuna anayebjsha kuwa wapenda soka, sababu sio kila unachokipenda basi utakuwa na uwezo nacho au na chenyewe kitakupendakwani wewe hupendi urubani?
Au yule mwanamke unayempenda hapo mtaani kwako umempata?

Yaani ndio hivyo soka unalipenda lakini halikupendi.
Jaribu rede, baikoko, au kigoma cha kuchimba mkuu.
 
Hakuna aliyekataa kama wewe ni mwanamichezo, maana michezo ipo mingi sana, rede, kibaokata, mpira wa pete n.k yote ni michezo hiyo

Pia hakuna anayebjsha kuwa wapenda soka, sababu sio kila unachokipenda basi utakuwa na uwezo nacho au na chenyewe kitakupendakwani wewe hupendi urubani?
Au yule mwanamke unayempenda hapo mtaani kwako umempata?

Yaani ndio hivyo soka unalipenda lakini halikupendi.
Jaribu rede, baikoko, au kigoma cha kuchimba mkuu.
Nimeanza kushabikia soka wakati huo wewe makamasi yanakutiririka upo kwenu mfulu huko.. Hiyo kibaokata shangilia wewe ndicho unachokijua
 
Napoli are refusing to sanction Milik's sale. Juventus move for Lacazette. There's been talks with Arsenal and the player and either Douglas Costa or centre-back Cristian Romero may be included in any potential deal. [@LaStampa]
 
Arsenal are looking at a £25m move for Ajax and Netherlands forward Quincy Promes, 28. (Sun)
 
Fulham are considering a move for Arsenal's 25-year-old defender Calum Chambers, with the Englishman expected to cost about £12m. (Sun
 
Two Premier League clubs and one from the Bundesliga are interested in Arsenal's versatile 22-year-old English midfielder and wing-back Ainsley Maitland-Niles. (Sky Sports)
 
Niles asiuzwe. Siku hizi timu hutumia full backs kuanzisha mashambulizi. Bayern wana Davies (kasababisha Alaba awe CB) Liverpool wana Arnold, sisi nini kinatushinda kummiliki Niles anayeweza kufit hiyo role?

Tierney is doing fine so is Bellerin lakini tukiwapangua hawa tuna nani? Kwanini asiwe Niles? Na tayari kaonyesha potential.
 
Wana namba 10 yao halafu captain anaitwa Gomez, anakamua kichizi.

Sijamuona yule munu wa kuitwa Ilicic..
Kocha wa PSG kaogopa mechi kaweka mabeki 5 na akili za kukaba 2 (Gueye na Herrera) hii mechi Mbape atacheza ingawa ni majeruhi.

Atalanta beki yao ina mtindo wa kukata, ingekua Mbape yumo nafikiri ubao ungesoma kivingine. Hata hivyo Atalanta forward na mid ziko njema so tutarajie game ngumu zaidi.
 
Back
Top Bottom