Vile shabiki wa chelsea anapopata habari kuwa Willian amekubali kusign Arsenal hivyo atakuwa na Auba next seasonUkitaka kujua Chelsea timu kubwa, uzi huu umefufuka baada tetesi za kumsajili Willian kuibuka kwenye media. Hongera sana
Tusiwe watu wa kulaumu kila jambo bila kuangalia pande zote,Ni kosa kubwa sana Arsenal itakuwa imefanya, yale yale ya Sebastian Larsson na Serge Gnabry.
Hili timu letu la ajabu sana yaani wenzetu man utd wanachukua vipaji hatari kama Sancho sie tunataka kuchukua takataka kama William na coutinho
Yes! Ukiwa na Squad Depth hata treble unapigania, hata akisajiliwa Partey bado Torreira abaki tuwe na viungo waliokamilika wanne maana kwa wiki ni mechi mbili hadi tatu lazima wote watacheza.
Kumuondosha Torreira na Kolašinac bora kumuondoa Sokratis, Maitland-Niles na takataka aina ya Willock, Nelson na Nketiah.Good idea, the problem comes to wage bill, that is the reason they offloading even our dependable backup players like AMN, Torreira and Kolasinac. Ukisema uwauze akina Willock, Smith na Nketiah, definitely they cannot fetch good price. Most of the teams selling are in dire need of cash to replace outgoing players
Mbons tumemwelewa!Mkuu hawawezi kukuelewa kamwe.
Ni ujinga wa hali ya juu kumuuza torreira
Willian ni takataka tu we unaona mchezaji wa maanaDuh!! Willian ni takataka? You are funny
Bado mkataba mrefu ht asipotaka kuwa backup tunaweza kumretain tu,Shida yetu ni pesa ndio maana lazima auzweSasa huyo Torrera yeye yupo tayari kuwa backup? Jiulize hilo kwanza, unakumbuka ishu ya Timmo na Klopp.
Mbona kama mnatumia nguvu nyingi sana katika hili suala,imefikia kipindi hata mmesahau kutupa updates za Kai ,
Huyu Willian kawauma sanasasa si mumpe mkataba anaotaka, si mna pesa nyinyi,
Na bado, mtaumizwa sana tu. View attachment 1528757
Kikosi hiki ni nooma tuombe wasajiliwe tu!!Mahesabu yenu aisee!, hayana tofauti na kilimo cha matikiti maji.
Ndio tuombee Torreira abaki katika timu!!Yes! Ukiwa na Squad Depth hata treble unapigania, hata akisajiliwa Partey bado Torreira abaki tuwe na viungo waliokamilika wanne maana kwa wiki ni mechi mbili hadi tatu lazima wote watacheza.
Hivi Chelsea wataenda uwanjani kweli?Breaking news.
No more food will be served at the emirates stadium. Players will be authorized to carry packed lunch from home due to the firing of the kitchen staff to fund captain aubameyang's contract.
Live from London.
Huu mkwara mzito sana.
Sisi hatuendi kutegemea miujiza km huyo small mind Bayern speaker anavyo expect. Tunaenda kucheza mpira kama tunavyocheza na timu nyingine litakalotokea sawa tu na ndio matokeo ya mpira.
- Liverpool (PL winners) out of the UCL.