Sisi kama Arsenal leo tumeona tutoe ofa kwa ndugu zetu Aston Villa pamoja na Mbwana Samatta.
Kiukweli katika timu zote zilizopo kwenye mstari mwekundu, Aston Villa haipaswi kuwepo kule.
They deserve to remain in EPL.
Nipo hapa nashangilia ushindi wa Villa.
#COYG