Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Fainal na Chelsea itabidi asenyanyi mje na condom 10 za kubebea magoli
 
Sisi kama Arsenal leo tumeona tutoe ofa kwa ndugu zetu Aston Villa pamoja na Mbwana Samatta.

Kiukweli katika timu zote zilizopo kwenye mstari mwekundu, Aston Villa haipaswi kuwepo kule.
They deserve to remain in EPL.

Nipo hapa nashangilia ushindi wa Villa.

#COYG
 
Tuache visingizio ni ufala kutopiga on target hata 1 kwa timu kama Villa,fainali ya FA inatufanya turelax but players need to understand final ni final tunaweza fungwa tukakosa nafasi ya Europa kama tulivyokosaga ya CL
 
Bado game 1 na watford nayo itakuwa ngumu zaidi ya hii
 
Naona ana imani na FA kutupitisha au ana uhakika kwakua sub 5
Shida kupata winning momentum. Maana tutaingia fainali ya F.A tukiwa na rekodi ya kufungwa mechi 2 mfululizo( A. Villa + Watford lazima watutungue) hatuezi kumfunga chelsea coming from 2 losses. Wajinga kabisa hawa mechi ilikua inaboa sana. Alaaniwe aliemnunua Pepe badala ya W. Zaha
N.B: poleni wazee wa mikeka maana lazima mlimpa Arsenal leo
 
NASIKIA MNATAKA KWENDA KUCHEZA FA NA CHELSEA...mtawezana?
 
ivi joe willock ni lazima acheze kwani mbona hana faida yoyote yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…