Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kumbe hii Kenge Gpilipilihoho na huku inapitaga? Watu wanaokaa kwa Mashemeji zao utawajua tu! Shemeji akienda Bafuni baada ya Kumnyandua Dadayake yeye ndiyo anapata muuda wa kuichukuwa Simu ya Shemeji fasta na kupost ujinga wake! Na ili mugundue hilo ingieni kwenye profile yake utakuta posts zake kwenye majukwaa yote zinapostiwa kwa wakati mmoja! Hii inamaanisha muda anaochukuwa Simu ya Shemeji anapita katika Nyuzi zote anapost Fasta ili Shemeji akitoka Bafuni awe ameshapitia notifications zote na kulog out.
 
Huna lolote sababu hata ukiandika hujui utaandika nn ,
 
Spurz kesho tunamfundisha soka


Kiungo cha Xhaka & Ceballos kipo Compact sana

Kutokuwepo mgunduz kumetusaidia

Mech na Leicester ,Arteta alitakiwa aache Laca amalize game ,laca ndio mtaalamu wa mech kama zile

Kutokuwepo nketiah ,kutasababisha Laca apate more time


Spurz kesho wanakufa mapema
 
Nyie taka taka ndio mumfunge Mourinho
 
Huyo ni kumuignore tu,
 
 
Aubameyang on his nickname for Saka:

"I call him this (Little Chilli) but in French so it is ‘Petit Piment’. It’s because he is like a little chilli, so much energy, so much power & is quite small so it’s funny" #Arsenal
 
Chelsea walivyoona tumeifunga Sheffield United,walidhsni ni virahisi no they are not. That tells the quality of our football
 
Chelsea walivyoona tumeifunga Sheffield United,walidhsni ni virahisi no they are not. That tells the quality of our football
Sheffield ni wazuri mno, kuwafunga ilikua bahati yetu.
Uliona msako waliotupiga kipind cha pili
 
Arteta .

. "Tulibadilisha mbinu wiki zilizopita ili kuzoea majeraha na shida zinazotokea.

Lakini tunahitaji kuwa wenye kubadilika zaidi na tayari kukabiliana.

Hatutaki mpinzani atusome kirahisi. Ni muhimu kufanya hivyo ili tuweze kudhibiti hali tofauti, mifumo tofauti (ya mpinzani) ili tuweze kuboresha kama timu. Tunafanya hivi .
 
Kocha wa dunia kashasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…