Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Mikel Arteta had been tested after feeling ill & the result came up positive at around 9pm on Thursday, leading the club to take instant action. [Guardian] #afc
Daah!.. Hali imekuwa tete sana! Hii ligi inaenda kusimamishwa na sijui itakuwaje huko mbele maana kuna mdau alianzisha uzi hapa akaeleza namna corona virus imeanzishwa na us kuvuruga uchumi wa dunia na kwamba ugonjwa huo utadumu kwa miaka 10 na kisha utaisha wenyewe ghafla.Dah majirani poleni sana... Hamna umuhimu wa ligi kuendelea tena kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Odoi washaconfirm mkuu?
Mimi nlijua hatuchezi hadi April Sema EPL wanataka kulazimisha tayari kuna Wachezaji wetu baadhi wametengwa ila hawajatajwa na ni heri wasuspend EPL hadi further noticeSaturday’s game is postponed
Odoi washaconfirm mkuu?
Dah!!! EPL should be postponedTayari jamaa yuko confirmed
baba naomba link ya huo uzi wa corona.Daah!.. Hali imekuwa tete sana! Hii ligi inaenda kusimamishwa na sijui itakuwaje huko mbele maana kuna mdau alianzisha uzi hapa akaeleza namna corona virus imeanzishwa na us kuvuruga uchumi wa dunia na kwamba ugonjwa huo utadumu kwa miaka 10 na kisha utaisha wenyewe ghafla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!!! EPL should be postponed
Kinachotia shaka ni huu ugonjwa kuwa detected kuanzia siku ya 14..Unakuta hapo katikati wengine washaambukizwa tayari.Ndio mkuu amepatikana na corona virus, ametengwa anapatiwa matibabu na uwanja wetu wa mazoezi umefungwa wanaupulizia dawa kuua vimelea vya corona
Kinachotia shaka ni huu ugonjwa kuwa detected kuanzia siku ya 14..Unakuta hapo katikati wengine washaambukizwa tayari.
Daah!.. Hali imekuwa tete sana! Hii ligi inaenda kusimamishwa na sijui itakuwaje huko mbele maana kuna mdau alianzisha uzi hapa akaeleza namna corona virus imeanzishwa na us kuvuruga uchumi wa dunia na kwamba ugonjwa huo utadumu kwa miaka 10 na kisha utaisha wenyewe ghafla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwnyw kinamtesa...NBA imesimamaKwa mpuuzi narekani yote yanawezekana
Mwnyw kinamtesa...NBA imesimama