Jamani mmenionea yule Dr wetu maarufu kwa jina la Rev Masanilo...nilikuwa naye muda mfupi lakini naona kanipiga chenga ya mwili sasa sijui ndiyo kaenda kulala au vipi baada ya magoli ya haraka. Rev rudi kijiweni.
There are currently 21 users browsing this thread. (11 members and 10 guests)
Mnazidi kujazana tu humu ndani, wakat wenzenu kuna Quest, Richard na AW wanaanzisha matanange mlikuwa wapi?, leo ya Tottenham msimu jana yanajirudia hapa Emirata. Sawa?
Ustaaadh Alhaji Wenger, taraaaatibu basi yakhee na keyboard yangu, hiyo PC nimekuazima kwa mda tu, mwenyewe hiyo ya kuwarithisha vitukuuu vyangu aisee,....
With a minute to go before the half-time kettle is put on the Gunners strike. It's all a bit messy but Alexandre Song gets the ball from a Jack Wilshere pass and it's in the net. 1-0 and the stadium is rocking at the break