Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mm kilio changu humu mpaka nimejibizana vibaya na watu, ni lacazette
Lacazete sijui amepatwa na tatizo gani msimu huu mimi mwenyewe Kuna mda simwelewi anapenda kujiangusha na kufanya fouls zisizo na sababu
 
NILISEMA HII TIMU NAIJUA KWA MIAKA 22 SASA NILISEMA KWA UHAKIKA HIZI MECHI 2 HATUTASHINDA ZOTE NA PIA TUNAWEZA TUSISHINDE HATA MOJA NA COMMENT YANGU HII NILISEMA NAISEVU NIKIWA NA UHAKIKA ASILIMIA 100 NA KAMA ITAENDA TOFAUTI NIONDOLEWE HUMU KUNDINI WAKATI SISI HATUELEWEKI WENZETU WANAZIDI KUPAA HUKU AARON AKISIFU
OHH SASA HIVI TUNACHEZA MPIRA OHH TIMU IMEBADILIKA HUKU NI KUJIPA MATUMAINI HEWA AU MATUMAINI SIFURI NA NEXT GAME NI DHIDI YA CHELSEA NAAPA NAAPA HII MECHI YA CHELSEA TUSIIFUATILIE HAKUNA USHINDI AMBAO TUTAUPATA USHINDI WETU UTAKUWA NI SARE AU KUFUNGWA KABISA TUTAPATA MAUMIVU HYO J4

KICHEKESHO UKIANGALIA MECHI YA MANCITY LEO NDO MAANA NIMEAMINI WHY WANATAKA KUTUUZIA STONES NA UKIONA BODI HAINA AKILI TIMAMU YA ARSENAL WAPO MGONGONI KUMTAKA NDO UONE HII TIMU HAINA NIA NA MAKOMBE MAKUBWA KABISA

ONYO TUPO TOFAUTI YA POINT 7 KUSHUKA DARAJA LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA HADI MAY TIMU ISHAJIFIA HII

YAMETIMIA
ARSENAL 1-1 SHEFFIELD UNITED FULL TIME

TUNAOJUA MPIRA TUKISEMA TUNAONEKANA MAMLUKI NAISHIA KUTUKANWA NAIPENDA ARSENAL KWA MIAKA 22 ILA HII TIMU IMEJAA VIVULANA VULANA SIO WANAUME WAPAMBANAJI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushoga mwingi Arsn
Hatuna quality players kivile kwa sasa kuwa na uhakika wa kushinda games msimu huu wewe tulia tu hata tukimaliza position hii ya kumi sawa tu japokuwa wengi hatuhitaji Ilo litokee ila ndio uhalisia wa mambo wachezaji hatuna tuingie sokoni tulete vifaa vya kazi tuwe na timu shindani kwa sasa tuenjoy burudani tu

#COYG
 
Mkuu angalia usijekujinyonga tu maana arsenal inakuumiza mno inaonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…