Tukimpata Ziyech itakuwa poa sana
Anacheza LW ,AM na RW
Uzuri Ziyech anacheza nafas nyingi sana kuliko ozilShida inaonekana ozil anavyozidi kushine huyu ziyech anaweza asije Arsenal
Sent from SM-G950F using Jamii Forums mobile app
Toka muda mrefu karibu Siku 4 zimepita walisema hivo , alisema Darmaesh Seth reporter wa Sky,
Inawezekana ikawa kweli , lakin sio kweli tunaweza tusisajiri , kuna kupata wachezaji kwa loan with option to buy.
Arsenal ipo kwenye hatari ya kufungiwa kusajiri kama itatumia hela maana mapato yameshuka kwa kutocheza UCL , hata dirisha kubwa , Team owner aliweka hela ya kwake kutoka vyanzo vingine ,
Lakini ARTETA mwenyewe amesema Kutokana na majeruhi ataongeza beki
Dirisha la January ni gumu, Arsenal sidhan kama watasajiri zaid ya watu wawili , hii ni ili summer ndio wafanye usajiri .
Target karibu zote zinazotakiwa , January imekuwa ngumu kuzipata
The Mirror are reporting that club insiders claim that Özil looks like a new player in training under Arteta.
The Spaniard has handed him specific instructions, which have reinvigorated his spirit. These include taking up the half spaces on the right hand side when attacking.View attachment 1313248
Heri ya kwako piaHeri ya mwaka mpya Aaron, nimelipenda sana hili jibu lako.
Ziyech hawezi kuwa no 10, siamini hivyoo mkuu, yule ni mzuri akitokea kwenye flanks, na ikitokea amekuja Arsenal basi namuona Pepe akiwa scapegoat, lakini kuna baadhi ya mechi inawezekana Auba akacheza CF then Pepe na Ziyech wakatokea kwenye Flanks.Kama atasajiliwa huyu, itakuwa usajili mzuri sana.Shida inaonekana ozil anavyozidi kushine huyu ziyech anaweza asije Arsenal
Sent from SM-G950F using Jamii Forums mobile app
Wadau hivi mi peke yangu ndo namuona cazorla kule la liga au...?
Wadau hivi mi peke yangu ndo namuona cazorla kule la liga au...?
Jana kapiga goli zuriNdugu yangu!! Ukichanganya na mapenzi yangu kwake!! Nikajikuta nafatilia game byinginza villareal aisee!! Mtakatifu cazorla hajaisha na alikuwa ana nafasi yake gunners!! Ni mcharo kweli kweli!!
Wafanye hivyo aje kwa mkopo akifaulu poa akifeli bac...Thomas Lemar:
-Very highly rated at Monaco.
-Nearly joined us back in 2017 for a fee in the region of £90m.
-Ended up at Atlético Madrid and has been very underwhelming.
-Still only 24.
-Linked with a January move to Arsenal on loan with an option to buy.
Your thoughts? View attachment 1313669
tatizo lake nayee nguvu sio sana, kama ozil vile.Tukimpata Ziyech itakuwa poa sana
Anacheza LW ,AM na RW