Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hata Mimi nashangaa sana unabaki na willock Nelson Smith halafu unamtoa Miki kwa mkopo?dah akili ya viongozi wa Arsenal bana najua sasa hivi mavi yao yanagonga Chupi sababu ya kupenda kupuuzia vitu serious kama hivi wanaona sasa kumbe kushuka Daraja kunawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bro em jipe likizo ndefu, kufatilia arsenal.

hunaga mawazo chanya, muda wote unawazia arsenal matokeo hasii tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseeeeehhhh....hongera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
chelsea mechi ya arsenal alibebwa na refa na makosa ya wachezaji wetu.

chelsea ni tia maji sana, leo anakufuraisha kesho anakuliza.

bora sisi ambao matatizo yetu yanaeleweka na yanafanyiwa kazi kila siku ya Mungu na matokeo yanaonekana baadhi ya maeneo na kuzidii kutengamaa.

trust the process.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawasawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ushabiki huuwezi,nyie ndio mnaojinyonga hakika.....
Sasa hivyo tu unabwabwaja namna hiyo na unaonekana wazi hata kula huli,usingizi hupati vizuri unaweweseka naamini timu ikishuka daraja utahama hapo unapoishi...
Au ukajinyonga kabisa...
Isitoshe nahisi ushabadilisha njia uliyokuwa unapita sababu wanakutania sana....

Wakati wenzio ndio kwanza tunavaa uzi wa Arsenal kwa kujiamini kabisa....hapa nilipo nimeitinga ile DREAMCAST nasubr game ....

Nyie ndio mnakimbia kaya kisa mzee kachalala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kwaio hamna updates zozote?
aisee mkuu Aaron popote ulipo pengo lako linaonekana
 
Mimi ambaye nasema ukweli usingizi siwezi kukosa na hata mechi Leo siangalii sababu jana nimekesha kusubiri Mwaka hvyo siwezi poteza mechi ambayo kimsingi Arsenal kushinda ni 40% wewe angalia game yetu halafu utanipa Matokeo
Mimi kwangu uongo ni mwiko kabisa na nikiwa mkweli unakasirika!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upamecano seems more likely than Rabiot this transfer window #afc #arsenal
 
We are 12 point off top 4

A good result tonight would see us only 9 points away.

Still everything to play for, shouldn’t put all our eggs in one basket and wish for a Europa league win.

Need everyone to dig in tonight and spank the mancs

COME ON ARSENAL
 
Bellerin, Sokratis, Holding, Tierney and Kolasinac are all injured. Mustafi apparently missed a training. Available defenders for tonight: David Luiz. That means only one lads.
 
Mikel Arteta is willing to build his Arsenal team around Mesut Ozil.

Gunners boss Arteta is putting his faith in the mercurial midfielder as he wants the team to “play in a certain way to facilitate Ozil’s strengths”. [@MirrorFootball]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…