Acha nikalale kesho niwahi kuamka kufanya kazi ya Kujenga Taifa letu kuliko kupoteza muda kuangalia timu ya mashoga kama hii na natabiri natabiri Freddie kama ataendelea kubaki ataishusha Arsenal kwenda championship kuna timu Brazil baada ya miaka 98 imeshuka Daraja why not Arsenal?nawatakia usiku Mwema