Wakuu tutamlaumu sana kocha ila timu yetu ina matatizo makubwa mawili ambayo nimeyaona;
Kwanza timu haitengenezi nafasi nyingi za kufunga, dakika zote 90 timu inatengeneza nafasi 3 tu hapo unategemea nini?.
Pili timu haina uwezo wa kuzuia, inaruhusu mashambulizi mengi ambayo huletea kufanyika kwa makosa mengi golini.
Hali ikiendelea hivi tutarajie maumivu zaidi.